Marekani kuisaidia Israel kujilinda

Marekani kuisaidia Israel kujilinda

Gama

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
13,264
Reaction score
4,744
Marekani kusaidia Israel kujilinda

Marekani imepitisha mswada unaotoa msaada wa kifedha kwa Israel kuimarisha mfumo wake wa kujilinda dhidi ya makombora.

Mswada huo unatoa dola millioni mia mbili na ishirini na tano kuimarisha mfumo huo ambao umetumiwa kuyatungua makombora kadhaa ya roketi kutoka kwa wapiganaji wa kipalestina katika majuma ya hivi karibuni.

Mpango huo wa fedha hatahivyo ni sharti upitishwe na bunge la wawakilishi na kutiwa sahihi na rais Obama.

Waandishi wanasema kuwa wabunge wa Marekani wamekuwa wakiunga mkono Israel hivyobasi mswada huo huenda usikabiliwe na vikwazo vyovyote.

News
Nyumbani
ENG | KIS © Tigo

My take: wale watanzania wahafdhina wanaojidanganya kuwa marekani imeisusa Israel mpate somo
 
Issue sio nani anaunga mkono nini ila ni kama wewe unasherehesha msaada ila ukiulizwa motive ya huo msaada hutatoa majibu!!!

Ukiulizwa sababu haswa za mgogoro waweza usitoe majibu!!!!!

Ukiulizwa kwa nini wasishughulikie kumaliza mgogoro badala ya kutoa misaada ya teknolojia ya kijeshi na fedha waweza pia usieleweke!!!!!

Anyway ni kama mpira, umechagua timu!!!
 
Lazima waunge mkono Marekani si ni ya jews na dunia iko controlled na ma jews,hv nina swali hawa waarabu watapata akili lini na mahela ya mafuta?
 
je kwetu JK, msaada wa vyandarua vp au zinapelekwa huko.
2.Kikao cha kutwa nzima hamna mwafaka wa katiba na bunge la kikamati ya sisimu kazi tunayo wanadamu na hawa watawala
 
me napita tu anti-israel wakija utaniambia

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Marekani kwani kaanza kutoa msaada jana tu, hizi ni kelele tu wanadhani watavunja moral za Hamas, wanaume wapo kazini ngojeni msikie vituko vitakavyo tokea kuna silaha Hamas anazo akizitumia lazima Ramani ya Israel ibadilike ihamia USA.
 
H ah ah ahaaaaaaaaaaaaaaaaa!. Umenichekesha sana!. Yale yale ya Sadam Husseni. Hawatakanyaga Iraq - mara hawataingia Baghdad - mara kuna jeshi la wanawake ambalo ni imara zadi,huko hawatakanyaga -- mara hawakaribia kijijini kwa saadmu maana kuna ngome. mara wanasubiriwa wafike sehemu wazione silaha za iraq. Mara huyoooooooooooooo! mapangoni hadi kitanzini.

Kuukubali ukweli ni mwanzo wa uhuru. waarabu hawana ubavu kwa Isreal!.

Marekani kwani kaanza kutoa msaada jana tu, hizi ni kelele tu wanadhani watavunja moral za Hamas, wanaume wapo kazini ngojeni msikie vituko vitakavyo tokea kuna silaha Hamas anazo akizitumia lazima Ramani ya Israel ibadilike ihamia USA.
 
H ah ah ahaaaaaaaaaaaaaaaaa!. Umenichekesha sana!. Yale yale ya Sadam Husseni. Hawatakanyaga Iraq - mara hawataingia Baghdad - mara kuna jeshi la wanawake ambalo ni imara zadi,huko hawatakanyaga -- mara hawakaribia kijijini kwa saadmu maana kuna ngome. mara wanasubiriwa wafike sehemu wazione silaha za iraq. Mara huyoooooooooooooo! mapangoni hadi kitanzini.

Kuukubali ukweli ni mwanzo wa uhuru. waarabu hawana ubavu kwa Isreal!.
wewe dada sikiliza kelele za Israel kila kukicha na sasa USA kanza kupiga kelele kuwa hawasimamishi vita mpaka matekwa wa Israel wawachiwe kesho atabadilisha tune, hao hawamuwezi Hamas wacha aonyeshe wapi kaingia gaza, yuko kwenye mipaka ya gaza leo week ya 4 haoni aibu hahaha.
 
Marekani kusaidia Israel kujilinda

My take: wale watanzania wahafdhina wanaojidanganya kuwa marekani imeisusa Israel mpate somo

Issue sio nani anaunga mkono nini ila ni kama wewe unasherehesha msaada ila ukiulizwa motive ya huo msaada hutatoa majibu!!!

Ukiulizwa kwa nini wasishughulikie kumaliza mgogoro badala ya kutoa misaada ya teknolojia ya kijeshi na fedha waweza pia usieleweke!!!!!!!!

Israel–United States relations


Israel–United States relations are an important factor in the United States government's overall policy in the Middle East, and Congress has placed considerable importance on the maintenance of a close and supportive relationship. The main expression of Congressional support for Israel has been foreign aid. Since 1985, it has provided nearly $3 billion in grants annually to Israel, with Israel being the largest annual recipient of American aid from 1976 to 2004 and the largest cumulative recipient of aid since World War II. Seventy-four percent of these funds must be spent purchasing US goods and services. Congress has monitored the aid issue closely along with other issues in bilateral relations, and its concerns have affected Administrations' policies. Almost all U.S. aid to Israel is now in the form of military assistance, while in the past it also received significant economic assistance. Strong congressional support for Israel has resulted in Israel receiving benefits not available to other countrie
 
Aisee, nitake radhi hallo. Mimi si mdada bwana. Tafadhali!. Lakini mbona vita viko dhahiri? Death toll 1,600 kwa 60? Mtu wangu.


wewe dada sikiliza kelele za Israel kila kukicha na sasa USA kanza kupiga kelele kuwa hawasimamishi vita mpaka matekwa wa Israel wawachiwe kesho atabadilisha tune, hao hawamuwezi Hamas wacha aonyeshe wapi kaingia gaza, yuko kwenye mipaka ya gaza leo week ya 4 haoni aibu hahaha.
 
yani muisrael mtaji wake ni akili...mpaka mmarekani anamshobokea...hizo hela hatoi kwasababu anampenda saaana muisrael! hamas hela wanazopewa wanajenga mifereji sijui maandaki badala ya shule kama za veta..yani jamaa bogas kabisa
 
Aisee, nitake radhi hallo. Mimi si mdada bwana. Tafadhali!. Lakini mbona vita viko dhahiri? Death toll 1,600 kwa 60? Mtu wangu.

muache ajifariji huyo...tena katika hao 60 raia sijui wa tatu...yani muisrael anapigana huku analinda raia wake...jamaa noma sana
 
Israel–United States relations


Israel–United States relations are an important factor in the United States government's overall policy in the Middle East, and Congress has placed considerable importance on the maintenance of a close and supportive relationship. The main expression of Congressional support for Israel has been foreign aid. Since 1985, it has provided nearly $3 billion in grants annually to Israel, with Israel being the largest annual recipient of American aid from 1976 to 2004 and the largest cumulative recipient of aid since World War II. Seventy-four percent of these funds must be spent purchasing US goods and services. Congress has monitored the aid issue closely along with other issues in bilateral relations, and its concerns have affected Administrations' policies. Almost all U.S. aid to Israel is now in the form of military assistance, while in the past it also received significant economic assistance. Strong congressional support for Israel has resulted in Israel receiving benefits not available to other countrie

Thanks Tyta ila sasa hata hapa hatoelewa yaani hii vita ni kama ligi tu watu wanachagua upande na kushabikia
 
Last edited by a moderator:
Wayahudi wameteseka sana, na wamebaguliwa sana, acha wapiganie Ardhi yao kutoka kwa mwarabu

Ezekel 37:21
21 Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda, nami nitawakusanya pande zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;
22 nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote; wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala hawatagawanyikana kuwa falme mbili tena, hata milele.
 
yani muisrael mtaji wake ni akili...mpaka mmarekani anamshobokea...hizo hela hatoi kwasababu anampenda saaana muisrael! hamas hela wanazopewa wanajenga mifereji sijui maandaki badala ya shule kama za veta..yani jamaa bogas kabisa

Akili ya Mwarabu ni ndogo sana, mwanzoni walikuja kwa staili ya kuvaa mabomu na kujitoa Muhanga ikashindikana, sasa wamekuja na staili ya njia za chini kwa chini nazo zitashindikana maana zimeharibiwa. Sasa Izrael wanataka kutengeneza buffer zone ya mpakani yenye urefu wa Km 3, hii itasababisha mji wa Gaza kupungua kwa asilimia 40
 
Marekani kwani kaanza kutoa msaada jana tu, hizi ni kelele tu wanadhani watavunja moral za Hamas, wanaume wapo kazini ngojeni msikie vituko vitakavyo tokea kuna silaha Hamas anazo akizitumia lazima Ramani ya Israel ibadilike ihamia USA.

Ha! ha! ha! ha! ha! kweli wewe ni bingwa wa propaganda za vichekesho mwee!
 
H ah ah ahaaaaaaaaaaaaaaaaa!. Umenichekesha sana!. Yale yale ya Sadam Husseni. Hawatakanyaga Iraq - mara hawataingia Baghdad - mara kuna jeshi la wanawake ambalo ni imara zadi,huko hawatakanyaga -- mara hawakaribia kijijini kwa saadmu maana kuna ngome. mara wanasubiriwa wafike sehemu wazione silaha za iraq. Mara huyoooooooooooooo! mapangoni hadi kitanzini.

Kuukubali ukweli ni mwanzo wa uhuru. waarabu hawana ubavu kwa Isreal!.
Hahahaaa! kweli umenichekesha na ukiona muarabu amempa kipaumbele mwanamke ujue amepata mnyuko ulioenda shule sasa kama wakina baba wameyashindwa wataweza akina mama na mikono yao ya kumenyea vitunguu.

Propaganda nyingine ni za kichovu zimepauka mpaka hata unashikwa na huruma ila inakubidi, utafanyaje sasa?
 
Back
Top Bottom