Marekani: Joe Biden aahidi kuirejesha demokrasia

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Rais mteule wa Marekani, Joe Biden anayetajai kuapishwa Januari 20, ameandika kuwa miaka minne ijayo ni miaka ya kuirejesha demokrasia.

Ametaja kutakuwa na upya wa siasa ambayo itakuwa inatatua matatizo ya watu na sio kuibua hisia za chuki na ghasia.

Aidha ameweka suala la utawala wa sheria kuwa moja kati ya kitu kitakachoheshimiwa katika utawala wake. Muhula wa rais wa Marekani ni miaka minne.

Joe.PNG
 
Acha ujinga! Unajua America inafaidika kiasi gani kutoka kwa wahamiaji katika kuinua uchumi wao? Wewe ni nani hadi uwaamulie Wamarekani kuhusu sera zao za uhamiaji? 😳
Kila mtu akae kwake, ajenge nchi yake
Nyumbani kwanza
 
Acha ujinga! Unajua America inafaidika kiasi gani kutoka kwa wahamiaji katika kuinua uchumi wao? Wewe ni nani hadi uwaamulie Wamarekani kuhusu sera zao za uhamiaji? 😳
Duh, kwanza sio kweli, Mimi si mjinga,
Pili sijui inafaidikaje, na tatu punguza pofuuu sabuni kali, mwisho nimetoa maoni kama mdau tu so usinifosi kukubali yako tu
Sio wote biden wengine team trump
 
Acha kuandika ujinga ujinga wako wa kuandika maoni potofu bila kujua sera za Nchi husika. Kama hujui kitu uliza badala ya kuonyesha ujinga wako hadharani. Eti team Trump na team Biden? Acha upuuzi wa kuweka mambo ya team ambayo hayahusu kitu. Fungua akili yako.
Duh, kwanza sio kweli, Mimi si mjinga,
Pili sijui inafaidikaje, na tatu punguza pofuuu sabuni kali, mwisho nimetoa maoni kama mdau tu so usinifosi kukubali yako tu
Sio wote biden wengine team trump
 
Acha kuandika ujinga ujinga wako wa kuandika maoni potofu bila kujua sera za Nchi husika. Kama hujui kitu uliza badala ya kuonyesha ujinga wako hadharani. Eti team Trump na team Biden? Acha upuuzi wa kuweka mambo ya team ambayo hayahusu kitu. Fungua akili yako.
Si nimekwambia mimi sio mjinga? Mbona huelewi?
Hakuna lazima ya kureply kama ni lazima utusi
 
Back
Top Bottom