Marekani inathibitisha kifo cha Ballali

Marekani inathibitisha kifo cha Ballali

Mimi niliachwa hoi na mwandishi mwenzangu pale aliposema eti Ballali amezikwa katika makaburi ambako hakuna makaburi ya waafrica (wabongo) coz hakuna majina ya asili...Sasa mimi nimuulize Meena, mimi nina kakaangu anaitwa George Mark Amos kwa majina haya na ikatokea kakangu huyu kafariki na Meena akaliona kaburi lake, je atasema sio mtanzania au mwafrika simply majina yake hayana asili ya Tanzania! HUU NI UVIVU WA KUFIKRI ULIOSABABISHA MWANDISHI AKASHINDWA KUISHUGHULISHA AKILI YAKE.
Mimi nashangaa sana.nadhani aliyesoma ndiye mwenye uvivu wa kufikiri kwani maana ya utamaduni na asili husawazishwa na umiliki wa majina na umiliki wa majina si utani ukiona Smith unajua katoka wapi au hamjui maana kwa sababu majina mliyonayo hayana maana.Neville amenunuliwa?! hii ajabu kabisa! kwanini wewe unayebisha kifo cha mtu usiwe ndiwe mwenye matatizo zaidi.Nini bana watu kazi yao ni kuandika wamesomea kuandika na kuchambua si kuandika maoni ya watu yanayowapendeza mpaka yale yasiyowapendeza hasa wanapokosa busara inayowakosanisha na upofu wa ukweli wa maandishi! kapish!
 
Mwandishi sijamuelema anasema Gazeti hili limefanya uchunguzi miaka miwili iliyopita anamaanisha nini? Kwamba miaka miwili iliyopita ndo wamefanya uchunguzi na kama ni hivyo kwa nini taarifa iletwe sasa? Pili kama anamaanisha kwa muda wa miaka miwili kwa nini kifo tu kichunguzwe miaka miwili wakati anasema taarifa ziko wazi alikua anachunguza nini na kwa faida ya nani na hizi taarifa nyepesi kama pamba ndo kachunguza kwa miaka miwili?
NATANIA TU WATANZANIA TUNA MAKABILA 120 HUU NI UTANI
 
Hilo ni kweli kabisa charminglady, ila ya kutoka US labda wakaforge na Wabongo wanaweza kuamua kuifuatilia ili kuhakikisha authenticity yake. Wabongo walioamua kuifuatilia kampuni ya Richmond kama kweli ilikuwa na HQ Houston, US ndio walikuwa wa kwanza kuanika hadharani kwamba kampuni ile ni fake.

Mkuu BAK unadhani ukiomba Death Certificate utanyimwa??? Bongo hakuna kitu kinahoshindikana isipokuwa uhai tu..
 
Last edited by a moderator:
Basi mimi nikajua this time labda wamekuja na vielelezo kama vyeti vya Hosp na pengine cheti cha kifo. (Ujue USA sio magumashi kihivyo kama Bongo kwamba unaweza pika vyeti vikaiva). Bado ni story tu, mbaya zaidi mwisho wa story mwandishi anathibitisha kifo cha mtu bila kielelezo. Mwe mwe mwe mwe:A S embarassed::A S embarassed:
 
Mimi nashangaa sana.nadhani aliyesoma ndiye mwenye uvivu wa kufikiri kwani maana ya utamaduni na asili husawazishwa na umiliki wa majina na umiliki wa majina si utani ukiona Smith unajua katoka wapi au hamjui maana kwa sababu majina mliyonayo hayana maana.Neville amenunuliwa?! hii ajabu kabisa! kwanini wewe unayebisha kifo cha mtu usiwe ndiwe mwenye matatizo zaidi.Nini bana watu kazi yao ni kuandika wamesomea kuandika na kuchambua si kuandika maoni ya watu yanayowapendeza mpaka yale yasiyowapendeza hasa wanapokosa busara inayowakosanisha na upofu wa ukweli wa maandishi! kapish!

Mkuu naona umekuwa mkali kweli kweli...Nadhani unanipa dhambi ya bure kusema nimebisha juu ya kifo na kwamba wandishi kanunuliwa... Nahani katika maandisi yangu hakuna mahali popote nimebisha juu a kifo hiko au kusema mwandishi kanunuliwa, mimi nmetoa mchango wangu kitaaluma kama mwandishi (Nin mwaawa kumi sasa, nimfanya The Citizen na sasa niko The Guardian)...Na nimetoa mfano wa majina ya kaka yagu na labda niongeze na majina ya mwanangu...Anaitwa Dickson Dickson Amos swali la msngi, je hawa wapendwa wangu ambao ni watanzania kwa kuzaliwa ikitokea wamefariki na mwandshi huyu akaona makaburi yao je atasema sio watanzania simply majina yao hayana asili ya Tanzania! Kazi ya mwandish ni kuhabarisha, kuelimisha, nakuburudisha na hii ya sasa ya kuset Agenda ili kustimulate opions na watu wafanye maamuzi sahihi...Ndo maana tunapoandika hatutakiwi kuweka hisia zetu, hapo hata ukinibishia na ukasema lolote lile, bado ukweli utabaki pale pale kuwa mwandishi hakushungulisha akili yake, ni kama alikuwa anajambo fulani anataka kulionyesha zaidi ya uasili wa majina.
 
Alifanyiwa upasuaji mkubwa na baada ya kupata nafuu aliruhusiwa kurejea nyumbani na baadaye kurudi Washington DC, lakini Aprili 2008 aliumwa tena na kulazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Georgetown. Alikaa hospitalini hapo hadi mwanzoni mwa Mei mwaka huo, alipoambiwa na madaktari kwamba asingeweza kupona na kwamba mauti ingemkuta katika wiki mbili.



The whole Tell is unbelievable and raises more questions than answers! The Doctors who attended Dr. Daudi Balali told him he will die in two weeks time? Really? I wonder where did Meena get this phrase from! This is another justification why we should not believe this comic from Mwananchi Newspaper but we should use it to probe more because it is very apparent that the whole issue surrounding Balali's death is invented and it's inventors seem not to be very smart in their invention! It is unethical in Medical career to tell a patient that he/she will die tomorrow, or the next two weeks!. Doctors struggle to save lives, not to forecast deaths! But the truth is that Doctors are not Gods, no doctor knows when a patient will die even if he is in a very critical condition! If the Doctors who attended Dr. Balali real told their client that he will die in two weeks time then they need to be investigated because they must have been involved in a plan to kill/assassinate him; regardless of whether they succeeded or not!).
 
Huyu mwandishi, Meena
ni mshenzi kweli,atadrop km yule aliyekuwa anamsafisha msalit zzk.
Hivi kweli tido na uelewedi wake anaruhusu hekaya km hizi kuchapishwa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom