wewe
Sele Mkonje
Nani aliyekuambia kuwa hali sio shwari katika miji ya USA??
nitajie hiyo miji ambayo hali yake sio shwari kwa usalama!!!
mimi juzi nilikuwa TEXAS now nipo NY CITY kesho narudi bongo kwa taarifa yako miji yote ipo shwari,utulivu na amani hakuna uwoga wowote na usalama upo wa kutosha tu,sasa sijui wewe hiyo habari umeipata wapi??
marekani sio kama iran,syria au iraq uku hali ni shwari kuliko TZ.
Ubaguzi upo ila kwa asilimia chache sanaaaaa sio ubaguzi wa nje nje kama italy,spain au uarabuni na india.
nikwambie kitu hivi uko bara la asia umewahi kumuona black akithaminiwa na hao arabs\indian?? au umewahi kuona black yupo juu kisanaa anathaminiwa??
Huku USA wapo blacks wengi wanashobokewa/thaminiwa na white peopl.USA kuna HAKI SAWA sheria inafata mkondo wake sio kama uko uarabuni na india.
kuna nchi ya kiarabu imewahi kuwa na rais mweusi?
ni vile hamjui ktk nchi yoyote duniani yenye watu weusi, USA ndio nchi yenye watu weusi wana nguvu na wanaheshimika ktk jamii