Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 6,389
- 12,674
Nimechunguza kwa muda mrefu nimegundua kuwa Marekani inatawaliwa na Israel.
Israel ina nguvu kubwa kuliko katika siasa za Marekani.
Kwa wasio fahamu Israel iliwahi pia kushambulia meli ya kivita ya Marekani.
Marekani atarukaruka pote ila akifika kwa master wake Israel anapiga goti anakuwa mpole.
Israel ina nguvu kubwa kuliko katika siasa za Marekani.
Kwa wasio fahamu Israel iliwahi pia kushambulia meli ya kivita ya Marekani.
Marekani atarukaruka pote ila akifika kwa master wake Israel anapiga goti anakuwa mpole.