DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,295
Serikali ya marekani chini ya raisi JOE BIDEN imerejesha uagizaji wa mafuta kutokea urusi kwa Mara ya kwanza kwa kipindi Cha mwaka mzima tangu mwaka Juzi december walipoamua kususia bidhaa za urusi.
Hii ya mafuta, inafuatia bidhaa za uranium ambazo nazo hapo awali walizisusia lakini hivi Sasa wamerejesha Tena uagizaji wake kutokea urusi.
Source: Globe eye news, foxy news
Hii ya mafuta, inafuatia bidhaa za uranium ambazo nazo hapo awali walizisusia lakini hivi Sasa wamerejesha Tena uagizaji wake kutokea urusi.
Source: Globe eye news, foxy news