Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,438
Reaction score
69,176
Marekani na Israel wamevamia Iran wakitegemea kumaliza oparesheni ndani ya siku 4 tu, lakini sasa siku 18 zimefika huku vita ikionesha dalili za kukolea kuliko kuisha. Iran wamepigwa, lakini wamemsababishia Marekani hasara kubwa kiusalama na kiuchumi ambapo CNN wanasema Marekani anatumia zaidi ya Dola za Kimarekani Milioni 890 kwa siku moja.

Katika hali hii Rais Trump ameomba msaada kwa washirika wake wa NATO ili kutuma majeshi kushinikiza Iran ifungue mfereji wa Hormuz. Mataifa ya Ulaya yamegoma na kumjibu waziwazi kwamba vita siyo yao na hawatajiingiza kabisa:

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistorius amesema hivi "It is not our war. We did not start it"

Waziri Mkuu wa Ujerumani, Friedrich Merz amesema "NATO is defensive alliance, not an intervention alliance"

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema "UK will not be drawn into a wider war"

JARIDA KUBWA KABISA DUNIANI, THE FINANCIAL TIMES linasema hivi:

Financial Times.jpg

Financial Times 3.png
Financial Times 2.png



 
Marekani na Israel wamevamia Iran wakitegemea kumaliza oparesheni ndani ya siku 4 tu, lakini sasa siku 18 zimefika huku vita ikionesha dalili za kukolea kuliko kuisha. Iran wamepigwa, lakini wamemsababishia Marekani hasara kubwa kiusalama na kiuchumi ambapo CNN wanasema Marekani anatumia zaidi ya Dola za Kimarekani Milioni 890 kwa siku moja.

Katika hali hii Rais Trump ameomba msaada kwa washirika wake wa NATO ili kutuma majeshi kushinikiza Iran ifungue mfereji wa Hormuz. Mataifa ya Ulaya yamegoma na kumjibu waziwazi kwamba vita siyo yao na hawatajiingiza kabisa:

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistorius amesema hivi "It is not our war. We did not start it"

Waziri Mkuu wa Ujerumani, Friedrich Merz amesema "NATO is defensive alliance, not an intervention alliance"

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema "UK will not be drawn into a wider war"

JARIDA KUBWA KABISA DUNIANI, THE FINANCIAL TIMES linasema hivi:




Kwa hili unajidhalilisha na kujiaribia brand Bure

Chutama
 
Akawaulize Libya,hata kama regime change isipo fanikiwa lakini maisha ya Irani baada ya hii vita hayatakuwa the same..
Hawa jamaa hususan Israel wana strategies zao. Ukikumbuka ile vita ya siku 12 na Iran, Walikuwa wanafanya pilot ya hii ya sasa. Ndiyo maana hii waliingia full force. Kama mleta hoja aivyosema, inaonesha hawakujiandaa katika kukabiliana na tishio la mfereji wa Hormuz. Naamini sasa watasitisha vita warudi katika Drawing table ili wakirudi awamu ya tatu, sijui. Tatizo kubwa ni hasara wanayoipata Iran, inaweza kusababisha mbeleni wakose nguvu za kuwavimbia kama sasa. CC Ritz , Website Tanzania , Jagina yungeni
 
Huwa unaheshimika sana kwa kuanzisha mijadala yenye tija..ila kwenye hili unaonyesha wazi umetanguliza ushabiki.
Sasa kwani uongo,ndio maana wachungaji wenu wanawapukutisha fedha kwa kushindwa kushiriki Sha akili.Inamaana wewe mwenzetu ndio myahudi lialia kiasi kwamba unaukataa ukweli??.

MISHOGA MWAKA HUU HAMNA NAFASI NI KIPIGO TU
 
Jana kawasifu wa iran kuwa inawatu wenye akiri nyingi kudadeki.Mimi nina amini kiburi cha iran cha kuendelea na vita vile marekani ilipo shindwa kuharibu maandaki ya makombora ya iran kwa usuper power wa marekani kuanzi kwe jeshi,uchumi,ujasusi na ushawishi iran isingetoboa hata wiki aisee
 
Huwa unaheshimika sana kwa kuanzisha mijadala yenye tija..ila kwenye hili unaonyesha wazi umetanguliza ushabiki.
Ushabiki gani?

Mbona kaandika kilichopo nadhani suala la msingi, ungesema jamaa huwa anaandika uchambuzi, mbona kwenye hiki alichoandika, kafanya JUST REPORTING ambayo kila mtu anaijua.

Marekani hana uwezo wa kushinda hiyo vita na Iran.

Kiuhalisia nguvu za Marekani zilishafika mwisho.
 
Back
Top Bottom