Marekani, Akiba ya Mafuta ipo kiwango cha chini sana tangu 1983 (Strategic Petroleum Reserve)

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,218
39,047
Strategic Petroleum Reserve:

Ndani ya kipindi cha miaka 13 SPR imeporomoka mpaka kufikia pipa 269 million kiwango cha chini kabisa tangu 1983.

Na week iliyopita US iliongeza pipa 600,000 kwenye SPR kwaajili ya kuendelea kujazia reserve.

Kwa upande mwingine bei ya Brent crude oil imeizidi kupaa kwa kasi sana na kufikia $95 kwa pipa.

Licha ya juhudi zote zilizofanywa na US kwa kushirikiana na mataifa makubwa kiuchumi (G7) pamoja na Umoja wa Ulaya (EU) katika kudhibiti bei za mafuta lakini bei zimezidi kupanda kila siku.

Tunakumbuka nchi hizi ziliweka bei kikomo ya mafuta (Price cap) sizidi $60 kwa pipa.

Wachumi na wabobezi wa masuala ya biashara wanasema kuna uwezekano bei za mafuta kufikia $140 kwa pipa mpaka December.

IMG_2886.jpg
 
Yaani

Yaani mapipa 269,000,000 wao wanasema kiwango cha chini kabisa kwenye reserve yao...hapo bado zile zilizopo kwenye reserve ya majeshi mbalimbali, reserve ya wale matajiri feki waliopewa pesa na serikali kwa ajili ya kufanya biashara ya kanyaboya, sisi huku Tanzania hatujui kesho tutatumia nini tukidamka.

Hio hesabu ni zote included
 
Duh tulidanganywa Sana wazee.

Enzi hizo tunaambiwa US Ina reserve ya mafuta ya kutumia miaka mia,dadeki kumbe uongo mtupu.
 
Duh tulidanganywa Sana wazee.

Enzi hizo tunaambiwa US Ina reserve ya mafuta ya kutumia miaka mia,dadeki kumbe uongo mtupu.

Hata hio Reserve ikifikia maxmum hizo barrels 800m kasoro bado hata miezi 2 hazifiki na haziwatoshi kama wanatumia SPR tu
 
Back
Top Bottom