sasa watoto ishirini waona wengi sana?
mimi by now nnao kumi na tano
na sijafika 40
ya kweli hayo au wachangamsha baraza?
ntafute mie pia natafuta bwana wa kuzaa naena natafuta mke mwingine anizalie wengine
seriously
ntafute mie pia natafuta bwana wa kuzaa nae
Mpaka mauti yanamkumba marehemu sheikh Yahya alikuwa na jumla ya watoto 20. Chanzo ni taarifa ya habari ya saa 1 usiku chanel ten.
sasa watoto ishirini waona wengi sana?
mimi by now nnao kumi na tano
na sijafika 40
majini yake yaliyokuwa yanamlinda mzee wa kaya yatakimbia ikulu sasa ili Dr wa ukweli aikute ikulu safi.
Hata km hatufurahi kifo lakini mpotoshaji km sheikh yahaya kifo chake kinafurahisha kwani ametangulia mbele ya haki na tumeokoka kwani hatapotosha na kutisha tena watz...
Ila bahati mbaya kikwete sijui itakuwaje kwani yeye ndiye alikuwa anampa ulinzi wa majini......sijui allah gani huyu alikuwa
<br />Hata km hatufurahi kifo lakini mpotoshaji km sheikh yahaya kifo chake kinafurahisha kwani ametangulia mbele ya haki na tumeokoka kwani hatapotosha na kutisha tena watz...<br />
Ila bahati mbaya kikwete sijui itakuwaje kwani yeye ndiye alikuwa anampa ulinzi wa majini......sijui allah gani huyu alikuwa
<br />Huo ni uonevu hakuna aliyekulazimisha kumuamini au kumfuata mbona mara nyingi tu amesema vitu ambavyo si vya kweli na wote tumetambua kuwa alikuwa msanii? kwa nini umchukie yeye badala ya kuwachukia wale walioko jikoni?(Ikulu) Tena inasikitisha na inahuzunisha sana kama amekufa bila kutubu dhambi zake. Si jambo la kufurahia hilo tuombeane mwisho mwema ndugu, wenyewe tumejikagua matendo yetu? ni kweli tuko safi?
Huo ni uonevu hakuna aliyekulazimisha kumuamini au kumfuata mbona mara nyingi tu amesema vitu ambavyo si vya kweli na wote tumetambua kuwa alikuwa msanii? kwa nini umchukie yeye badala ya kuwachukia wale walioko jikoni?(Ikulu) Tena inasikitisha na inahuzunisha sana kama amekufa bila kutubu dhambi zake. Si jambo la kufurahia hilo tuombeane mwisho mwema ndugu, wenyewe tumejikagua matendo yetu? ni kweli tuko safi?