Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,996
- 7,366
Hiyo biashara ya vita ndiyo inayoleta maendeleo mnayovutiwa nayo kuzamia hukoTatizo si kila mmarekani anafurahia nini serikali yao inachokifanya, kama wakipatikana viongozi waadilifu wenye kupenda amani nadhani taifa la Amerika lingekuwa la kuigwa, lakini linaendeshwa na wachache wenye ukwasi na ushawishi mkubwa ndani ya nchi wenye viburi ndiyo maana biashara yao kubwa ni vita tu.