Mswahili wa Bara
Senior Member
- Feb 10, 2013
- 111
- 39
Walikuwa wanataka Raila ashindwe,hivyo walitumia mbinu nyingi kuiba. Wanalindana kama CCM bwana. Si unajua mtoto wa Knyatta alikuwa rafiki wa Moi na Kibaki,hivyo alikuwa ameandaliwa kulinda mzigo wa wazee wao.