March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

01:24: With votes from 166

constituencies counted, Uhuru Kenyatta has 3, 589, 217; Raila Odinga has 3, 360, 628; Musalia Mudavadi has 267, 213; Peter Kenneth 42, 344; Mohammed Dida has 28, 498; Martha Karua 25, 165; James ole Kiyiapi has 24, 183; Paul Muite has 8, 637. Total votes cast 7, 322, 726. Rejected votes 71, 426.
 
01:24: With votes from 166

constituencies counted, Uhuru Kenyatta has 3, 589, 217; Raila Odinga has 3, 360, 628; Musalia Mudavadi has 267, 213; Peter Kenneth 42, 344; Mohammed Dida has 28, 498; Martha Karua 25, 165; James ole Kiyiapi has 24, 183; Paul Muite has 8, 637. Total votes cast 7, 322, 726. Rejected votes 71, 426.

Mkuu nimekupa "like" hiyo!
Nakuomba uendelee kuleta matokeo bana coz huyu bwana Kenyan katukimbia kabisa...kwa sisi tusio na access ya TV muda huu ni balaa tupu.
 
Mkuu nimekupa "like" hiyo!
Nakuomba uendelee kuleta matokeo bana coz huyu bwana Kenyan katukimbia kabisa...kwa sisi tusio na access ya TV muda huu ni balaa tupu.


Nimemkuta Corner Bar al maaruf kama Ambiance anakodoa kodoa macho...
 
Homa bay pembezoni mwa ziwa victoria.sehemu ya wajaluo ngome ya odinga ndo mana gapu imepungua


Kweli Kabisa mkuu.
Ni sawa Gapu lilipopungua kwa Dr Slaa pale tulipoanza kuhesabu kura za Msoga, Msanga, Manelo Mango, Malumbo mpaka Masaki mpaka Panga la Mwingereza, kibugumo na Geza ulole...
 
Kwa gap Uhuru Kenyatta alilokuwa amempiga Raila odinga la kura million 2 sasa limepungua na kuwa laki mbili sasa naona mitambo ilikuwa inaiba kura au analogia ndo imepiga jeki??Paka asubuhi raila kashinda sasa sijui huko kitaeleweka au??


Usikurupuke...
Umeona kura zilizomsogeza huyo mjaluo zimetoka wapi?
 
Uhuru kaanza kurudi kwa kasi now gap ni 350,000 hadi saa 11 asubuhi atakuwa keshampiga gap la kutosha mjaluo ambaye ngome zake kuu tayari zimehesabiwa
 
03:14am:Official presidential results,178constituencies: Uhuru 3,977,529, Raila 3,591,697,rejected 76,267
 
Kufikia saa 3:19 maeneobunge 179/291; Uhuru 4,021,941 Raila 3,595,404 zilizoharibika 76,780 zilizohesabiwa 8,006,956
Mpaka sasa gap limeshafika laki 4, na kama turnout ilikuwa 70% kwa hiyo kura zilizobaki hazifiki 3M, kweli huu uchaguzi ni mchuano mkali.
 
Back
Top Bottom