Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Hii inatia moyo sana na kufurahisha!!! Mnyika mara hii lazima achukue jimbo la Ubungo kwani CCM wamemuweka weak candidate na kweli kura zikilindwa kwa mtindo wa mawakala 3 kila kituo wasiojuana, rushwa itakuwa ngumu na kijana atachukua jimbo.
Mnyika, take my words, wana Ubungo tuko nyuma yako!!!!
Tiba
Mnyika, take my words, wana Ubungo tuko nyuma yako!!!!
Tiba