Marafiki wa Lowassa waivuruga chadema. Kikao cha Moshi chamalizika bila muafaka

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
12439036_1025794440818347_1397013396405515077_n.jpg
 
CDM walivyo nunuliwa na Kikundi cha Majizi basitena
Watavurugwa kila siku
 
Hilo gazeti lenyewe ni kati ya yale ya udaku wa siasa...hakuna upembuzi wala uchunguzi humo.Siwezi poteza muda wangu nasoma Tazama..sheria ingekuwa na usawa haya magazeti ya mlengo huu ni ya kufungwa kbsaa,sema kwa kuwa limepondea upande wa upinzani....
 
Hamna wa kumuonya Mbowe na ya Chadema hayo maneno wanayasemea pembeni wajaribu kujitokeza basi waone, Mbowe anaiendesha Chadema kwa mkono wa chuma.
 
Hilo gazeti lenyewe ni kati ya yale ya udaku wa siasa...hakuna upembuzi wala uchunguzi humo.Siwezi poteza muda wangu nasoma Tazama..sheria ingekuwa na usawa haya magazeti ya mlengo huu ni ya kufungwa kbsaa,sema kwa kuwa limepondea upande wa upinzani....
Kwako usawa upo kwenye magazeti ya MAWIO na Tanzania Daima pamoja na Mwanahalisi sababu wanawasifia Chadema.
 
CDM walivyo nunuliwa na Kikundi cha Majizi basitena
Watavurugwa kila siku
Mwanachama mpya ndani ya CHADEMA Edward Lowassa ametishia kumfukuza diwani ama mbunge yeyote atakayeshindwa kutumikia wananchi. Swali hapa, huyu Lowassa ni nani ndani yake CHADEMA mpaka afikie hatua ya kuwatisha hivyo?
 
Kwako usawa upo kwenye magazeti ya MAWIO na Tanzania Daima pamoja na Mwanahalisi sababu wanawasifia Chadema.
La hasha bwana Ritz...usawa ni kwamba magazeti yenye matoleo au makala zisizo na ukweli pamoja na zenye kupotosha..endapo zikibainika yafungiwe au kupewa adhabu stahili yote bila kujali yamesifu/kuponda CCM/UKAWA..
 
Jamaa huwa hawapendi waonekane wana kasoro, wanataka wao waendelee kuonekana ni wenye mawazo yakinifu. Siasa ya Tanzania kama hauijui ndo utasimuliwa.
 
Ukiandika kuikosoa Chadema, safi tu; Lakini ukiandika hivyo hivyo kuhusu Ccm unafungiwa!?! Okay, tuendelee.
 
Back
Top Bottom