Marafiki wa kweli

Marafiki wa kweli

Ama kwa hakika kweli urafiki wenu ulifana...yaani mlikuwa mnagawana mpaka papuchi...........???
 
hata kama akiwa na PHd kama ni borgus ni bogasi tu
Hamjui Maana Ya Kupenda, Na Thaman Yake, Na N Washamba Nyiee, Una Elimu Gan Kaka? Tujue Hlo Kwanza Then Utapata Majib
 
hivi hii nayo ni thread ya kuleta hapa vitu ambavyo havina mkia wala mguu mamods mnaweka jamani
inasikitisha sana tena sana, halafu mwenyewe anajisifia anaona kawin hapa kumbe anajichimbia HIV
bila kujielewa kweli borgus kabisa bureeeee
 
hivi hii nayo ni thread ya kuleta hapa vitu ambavyo havina mkia wala mguu mamods mnaweka jamani
inasikitisha sana tena sana, halafu mwenyewe anajisifia anaona kawin hapa kumbe anajichimbia HIV
bila kujielewa kweli borgus kabisa bureeeee

sasa mapenzi yanaongelewa wapi?
 
Unajua inafikia akipindi urafiki unavuka mipaka kama hii.

Mimi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tulizoeana sana mpaka tukawa kama ndugu, tuliaminiana sana, lakini kuna jambo moja ambalo mpaka leo huwa najiuliza sielewi ni nini kilinifanya nilikubali jambo hili.

Ni Kwamba tulikuwa tunafanya Exchange ya mademu yaani mimi nachukua demu wake naenda kupiga, au (kusex) kwa lugha yenu mliosoma na yeye anachukua demu wangu anaenda kupiga.

Sasa ninachojiuliza kati yetu sisi WANAUME na wale MADEMU ni wapi walikuwa bogus?

Nyie wote kule kwetu tunawaita MBUTE mkuu.
 
Back
Top Bottom