naomi1
Senior Member
- May 1, 2018
- 109
- 73
Hbr zenu
Mie ni binti mwenye umri wa miaka 25 niko mbele zenu hapa
Natafuta kaz ya usafi maofficen
Migodini, au kaz yakujitolea kwenye vituo yva watoto yatima
Nina uzoefu nakaz hiyo niko mwanza
Niko tayar kufanya kaz
Sina elimu lkn nina ufahamu , na uwezo na bidii katik kaz
Mungu awabarik
Dharau kejeli sio nzur
Mie ni binti mwenye umri wa miaka 25 niko mbele zenu hapa
Natafuta kaz ya usafi maofficen
Migodini, au kaz yakujitolea kwenye vituo yva watoto yatima
Nina uzoefu nakaz hiyo niko mwanza
Niko tayar kufanya kaz
Sina elimu lkn nina ufahamu , na uwezo na bidii katik kaz
Mungu awabarik
Dharau kejeli sio nzur