minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,933
Wana wanajisahau Sana,Nlikuwa nae mshikaj mwingne tena, baada ya wakwanza kumuibia bimkubwa familia ikasahau ikamsaidia mwingine kumsomesha taratibu akaanza kukamata vijisent hatimae akaanza kuwaongelea ovyo wazee wangu...kiukweli had leo najtahid kumsamehe....aliongea ovyo Sana licha ya msaada walompa,alipoona kapata vijisent vya tour guide akaona laif kalimudu....
Duuh na ndio walimsomesha na bado anatema mbovu maisha haya amegundua makosa anaomba msamaha au ana kibur bado