Marafiki na Mahusiano




Duuuuuuh.

Kazi ngumu ni kutofautisha hapo kwenye kuonjwa na muonekano wa maungo wa nje.
 


Aiseee,

Basi, Weka picha ya Mahondaw, tumuone mkuu!!

Pleaseeeeee, we need to see Mahondaw's pic!!!
 
Mtazamo wako ukiwa negative lazima tu utamtilia shaka huyo friend yako ijapokua wasi wasi ndio usalama wako mkuu.

mafisadi hayana chama
 
Mbona issue ya kawaiida unaikompliketiisha...

Mimi marafiki zangu wanamuita "demu wetu" lakini nachukulia fresh tu kwasababu najua wanaume tunavyoishi.

Ni sawa na marafiki wanavyosema "bora ufe" ukiwa umelazwa hospitali. Fresh tu mbonaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawa mkuu , nimekusoma vyema.
Pokea like.
 
Mtazamo wako ukiwa negative lazima tu utamtilia shaka huyo friend yako ijapokua wasi wasi ndio usalama wako mkuu.

mafisadi hayana chama


Duuuuuuh,

Sawa mkuu, nimekusoma vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…