Kwanza, lazima upime maneno ya kumtamkia rafiki yako juu ya mke wake, pili siku hizi kuna misemo mingi kwa vijana yenye maana tofauti.
-mkeo mzuri : hii haina shida saana yawezekana akawa anamzungumzia muonekano wa sura. Wa shemeji yake.
- mkeo mtamu : hii nayo imegawanyika yawezekana (kaonja) au usemi wa mjini jamaa anasifia muonekano wa maungo kwa nje na jinsi anavyotembea.
Mbona issue ya kawaiida unaikompliketiisha...
Mimi marafiki zangu wanamuita "demu wetu" lakini nachukulia fresh tu kwasababu najua wanaume tunavyoishi.
Ni sawa na marafiki wanavyosema "bora ufe" ukiwa umelazwa hospitali. Fresh tu mbonaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha nyingine za kichochezi sana..Mkuu,
Unacheka tu, weka maneno basi.