mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,313
Habari wanajamii.
Wakuu,mimi nina mpedwa wangu,alijifungua kwa operation-baada ya kujifungua yalianza matatizo ya mgongo kidogo kidogo,akapuuza.
But siku za hivi karibuni tatizo limekuwa seriouse,anaweza akaa tu then akashikwa na maumivu makali mpaka yanatawanyika kwenda sehem zingine.unapojaribu kumkandamiza sehem za mgongo anadai yanapungua.
Sasa wakuu msaada hapa tatizo linaweza kuwa nini??na nini tiba yake.
Wakuu,mimi nina mpedwa wangu,alijifungua kwa operation-baada ya kujifungua yalianza matatizo ya mgongo kidogo kidogo,akapuuza.
But siku za hivi karibuni tatizo limekuwa seriouse,anaweza akaa tu then akashikwa na maumivu makali mpaka yanatawanyika kwenda sehem zingine.unapojaribu kumkandamiza sehem za mgongo anadai yanapungua.
Sasa wakuu msaada hapa tatizo linaweza kuwa nini??na nini tiba yake.