Wana miguu miwili km Sisi..tutapambana nao kikomandoAt Least unaamini.
Hivi huko Qatar itakuwaje?
Tutawaweza miamba kama Belgium, France, Portugal n.k?
Hizo nchi ni mdomo umekuwasha ukaamua kuzitaja?Kuna makundi 10.. kila kundi lina kigogo. Kwa mbali na kwa kubahatisha labda tupangiwe Algeria au Mali tukitoboa makundi
Na wewe umewashwa nn? Kuna head-to-head precedence dhidi ya hizo nchi.Hizo nchi ni mdomo umekuwasha ukaamua kuzitaja?
KitenesiAcheni negativity.. sijui mpoje hata.. kwani mpira si unadunda
Kina Iheanacho walifungwa nyumbani na CAR wana maajabu gani ?Huwezi kufuzu mbele ya Mane, salah, Benrahma, Mahrez, Kassie, Ihenacho..bahati hiyo haipo.
Mpira hauko hivyoMnapangwa kundi moja na Chile, Spain, na Ukraine.
Mechi ya kwanza mnapigwa nane, mechi ya pili mnakula tisa, mechi ya tatu mnahurumiwa, mnapigwa saba.
Mtarudi Bongo mmechoka sana!
Mbili home and awayHivi baada ya kufuzu kwenye kundi mtu anacheza mechi ngapi tena ili aqualify?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nigeria watatufaa ndiyo timu ambayo haijielewi zaidi kati ya timu kubwa za Africa.Tuombe tupangwe na akina south A kama akifuzu au akina Mali angalau.
Tutangoja sana.Tunashangaa mnataka kutumia fedha zetu za tozo kuwahonga wachezaji.Hizo fedha wagawieni wamachinga akina mama wenye hali ngumu sana kiuchumi.Ndio Tunaiombea Team Yetu ya Taifa ishiriki World Cup 2022.
Ndio imesha qualify sasa.
Mara paap imepangwa kundi moja na Team kama France, England, Brazil, Germany, Italy, Belgium n.k hivi tutatoboa?
Yes hasa tukiwa serious