Ulichoandika kina mantiki. Maana haiwezekani mwanafunzi ajibu mtihani kwa kuandika majibu yasiyo sahihi makusudi halafu eti matokeo yatoke akiwa kafaulu. Labda matokeo ya wanafunzi wa shule, eneo au jinsia fulani upikwa ili kuridhisha mtu au kundi fulani la watu wapenda sifa au wanaotaka kukwepa dhana ya uwajibikaji.Kuna hitajika mjadala mpana juuu ya hili Jambo, waandishi wa habari utakuta wanaishia hapo tu, badala ya kwenda had ndani Kabisa kupata ufafanuz Kwa walimu, shule alikosoma, alama alizopata Kwa Afisa Elimu had kwa waziri maaana kuna Dalili kuwa huenda watoto wanafaulishwa na huenda wako wengi Sana waliofaulishwa, hili Jambo ni Kubwa kuliko mnavyofikiri tunahitaji mitihani yake huyu Mtoto iwekwe hadharani kuna, sintofaham kubwa Kwa hizi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa binti na nguvu za kiume wapi na wapi ?Kikubwa nguvu za Kiume kama anazo haina shida namkaribisha kitaaa... ataheshimika hata kama bichwa maji
Ila ni bintiKikubwa nguvu za Kiume kama anazo haina shida namkaribisha kitaaa... ataheshimika hata kama bichwa maji
Nguvu za kiume hana kwa sababu yeye ni Binti.Kikubwa nguvu za Kiume kama anazo haina shida namkaribisha kitaaa... ataheshimika hata kama bichwa maji
Tatizo linalojitokeza kwa sasa ni kwamba watoto hulazimishwa kwenda kidato cha kwanza, awe kafaulu au la. Wapo wengine hata wao wanabaki wakishangaa. Hawajui kusoma wala kuandika. Wanajiuliza hivi ni nani kawafanyia huo mtihani. Sasa hicho Kiingereza cha kusomea huko Sekondari wanakipata wapi. Ninaye rafiki yangu ambaye ni mwalimu wa Sekondari. Anasema wanapata wakati mgumu sana kuwaelemisha wanafunzi wa aina hii. Lakini kwa vile ni lazima wasome, basi ni bora liende. Wafikapo kidato cha nne, matokeo yao yanaharibu kabisa wastani wa matokeo ya shule nzima.Kama ingekuwa ni kuchagua aachiwe aendelee na anachokipenda
Wenzetu wanaanza mchakato wa kuhimiza watoto waishie miaka 16 ya umri na wakubaliwe kwenda kujifunza ufundi au technology wanayotaka badala ya kupoteza mda shule
Apewe anachopenda
Sent from my iPhone using Tapatalk
Tatizo linalojitokeza kwa sasa ni kwamba watoto hulazimishwa kwenda kidato cha kwanza, awe kafaulu au la. Wapo wengine hata wao wanabaki wakishangaa. Hawajui kusoma wala kuandika. Wanajiuliza hivi ni nani kawafanyia huo mtihani. Sasa hicho Kiingereza cha kusomea huko Sekondari wanakipata wapi. Ninaye rafiki yangu ambaye ni mwalimu wa Sekondari. Anasema wanapata wakati mgumu sana kuwaelemisha wanafunzi wa aina hii. Lakini kwa vile ni lazima wasome, basi ni bora liende. Wafikapo kidato cha nne, matokeo yao yanaharibu kabisa wastani wa matokeo ya shule nzima.
zamani kufaulu kwenda sekondari ilikuwa shughuli pevu, siku hizi mtoto anafaulu hata akiwaza amefauluje hapati jibu, maisha yanabadilika!! unakuta mtoto anamaliza darasa la saba hajui hata kuandika jina lake kisha anafaulu kwenda sekondari, sayansi inayotumika hapo hata mimi sijaielewa sawa na huyo mwanafunzi wa mara!
Majibu ya kuchagua na ku-shade vyumba.Tatizo linalojitokeza kwa sasa ni kwamba watoto hulazimishwa kwenda kidato cha kwanza, awe kafaulu au la. Wapo wengine hata wao wanabaki wakishangaa. Hawajui kusoma wala kuandika. Wanajiuliza hivi ni nani kawafanyia huo mtihani. Sasa hicho Kiingereza cha kusomea huko Sekondari wanakipata wapi. Ninaye rafiki yangu ambaye ni mwalimu wa Sekondari. Anasema wanapata wakati mgumu sana kuwaelemisha wanafunzi wa aina hii. Lakini kwa vile ni lazima wasome, basi ni bora liende. Wafikapo kidato cha nne, matokeo yao yanaharibu kabisa wastani wa matokeo ya shule nzima.
Kuna hitajika mjadala mpana juuu ya hili Jambo, waandishi wa habari utakuta wanaishia hapo tu, badala ya kwenda had ndani Kabisa kupata ufafanuz Kwa walimu, shule alikosoma, alama alizopata Kwa Afisa Elimu had kwa waziri maaana kuna Dalili kuwa huenda watoto wanafaulishwa na huenda wako wengi Sana waliofaulishwa, hili Jambo ni Kubwa kuliko mnavyofikiri tunahitaji mitihani yake huyu Mtoto iwekwe hadharani kuna, sintofaham kubwa Kwa hizi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyoeleza hapo juu, hata walimu wanaofundisha sekondari wanawashangaa baadhi ya wanafunzi ambao hawajui alifu wala beta lakini wameshinda mitihani yao ya kumalizia shule za msingi. Lahaullah la kwata!Yaan necta yetu majangaa. Kunamwaafunzi aliletwa na mzazi wake asome pre form one hapa shuleni napofundisha yaan achilia mbali kujua kusoma hata kukopi kilichoandikwa ubaoni hawezi lakini kapata wastani wa B darasa la saba .. Mpaka nilikuwa nawaza alifaulujee?
Sent using Jamii Forums mobile app