Mapya yaibuka kuungua kwa soko la Samunge Arusha

Mapya yaibuka kuungua kwa soko la Samunge Arusha

Huu ni uharo wa mtu aliyekula makande ya ndulu,how comes uteketeze Mali za mamilioni na kutesa familia za watu takribani 500 kiss ubunge,hapana, hizi ni mbinu chafu dhidi ya RC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uharo wa mtu aliyekula makande ya ndulu,how comes uteketeze Mali za mamilioni na kutesa familia za watu takribani 500 kiss ubunge,hapana, hizi ni mbinu chafu dhidi ya RC

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi mkoa anapanga uhalifu ambao unazidisha umasikini kwa raia ambao Ni wapiga kura?? Hata Mimi siamini.

Lakini ikiwa Ni kweli, basi hizo Ni kampeni chafu, hujuma na kupoteza sifa za kuwa mbunge...
 
Vyuma vimekaza lakini kuna watu wanatapanya pesa...

Hivi hizi pesa wanazitoa kwenye budget gani? Alafu zinaonekanaga chuguzi zikikaribia...



Cc: mahondaw
 
Wanyonge waliounguliwa vitu wanateseka kwasababu ya wanasiasa wachache wenye uchu wa madaraka!!!
Uchunguzi wa kina ufanyike kubaini uozo huo wa wanasiasa
 
Back
Top Bottom