Elections 2010 Mapungufu ya sera ya elimu bure

Mbunge wa CCM

JF-Expert Member
Nov 13, 2009
475
22
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.

mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.

mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:

1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.

niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.

kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima

ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.

hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.

mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.

mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:

1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.

niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.

kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima

ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.

hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Naona huo ubunge umeshakulewesha tayari wakati hata hujaapishwa!
 
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.

mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.

mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:

1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.

niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.

kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima

ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.

hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Crap sorry Mod
 
Naona huo ubunge umeshakulewesha tayari wakati hata hujaapishwa!

japo sijaaapishwa, tayari niko kazini na kwa sasa nafanya kazi ya kuteua kamati za kunisaidia kufuatilia shughuli za maendeleo jimboni ikiwa ni pamoja na kupanga mikakati ya kutafuta fedha za maendeleo kwa kuanzia na usambazaji wa maji ya bomba jimbo zima katika miaka mitano ijayo.

yaani baada ya ushundi huu, nimeanza rasmi kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015 kwa matendo. wapinzani wasahau kabisa kushinda hapa jimboni

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
japo sijaaapishwa, tayari niko kazini na kwa sasa nafanya kazi ya kuteua kamati za kunisaidia kufuatilia shughuli za maendeleo jimboni ikiwa ni pamoja na kupanga mikakati ya kutafuta fedha za maendeleo kwa kuanzia na usambazaji wa maji ya bomba jimbo zima katika miaka mitano ijayo.

yaani baada ya ushundi huu, nimeanza rasmi kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015 kwa matendo. wapinzani wasahau kabisa kushinda hapa jimboni

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Na wenzio akina Masha na Diallo walituambia hivyo hivyo in 2005. Na kama unafikiri kufanya maendeleo haikuwezekana huko nyuma jimboni kwako wakati ulikuwepo eti sasa itawezekana kwa sababu u mbunge basi ni zaidi ya ulevi!
 
tulizeni hisia zenu ndugu, angalieni mustakabali wa taifa kwanza. hivi kwako habari ya maji ya bomba jimbo zima ni ndogo? tena kwa nchi kama yetu?

haya ndugu sikiliza muziki kutokea dodoma
 
tulizeni hisia zenu ndugu, angalieni mustakabali wa taifa kwanza. hivi kwako habari ya maji ya bomba jimbo zima ni ndogo? tena kwa nchi kama yetu?

haya ndugu sikiliza muziki kutokea dodoma

Siku zote ulikuwa wapi? Watu tumesambaza vitabu shule zaidi ya mia na wala si wabunge na hatuutaki huo ubunge. Hivyo basi mm siku zote nawaona watu wa aina yako ni matapeli wanaofikiri maendeleo yatakuja iwapo wao watakuwa wabunge. Kumbuka ww si wa kwanza kufikiri namna hii na matokeo tunayajua kwa waliokutangulia
 
Inaonekana ni jinsi gani ulivyo na nawazo finyu na mgando, kama ni swala la sera huna kitu hapo.Pia umeshindwa hata kuelewa sera ya chadema sasa unaibadilisha,ni wapi wao walisema wangesoma wachache?Bajeti finyu kivipi wakati hela nyingi inaishia kwenye matumizi ya kipuuzi na mifukoni mwenu,na walisema fedha zitakapotoka za kugharamia elimu bure.Nafikiri uisome upya sera ya Chadema utafute mtu wa kukufanulia mkakati wao ukoje manake bila hivyo inaonekana uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana.Nawapa pole wananchi waliokuchagua na Taifa kwa ujumla
 
shit i hate you for this..

next time plz write some thing beneficial to the forum and not this crap
 
Halafu huo muda wa kukaa kuchambua dosari za mwenzio unaupata wapi,badala ya kufikiria utafanya nini cha kusaidia kumkomboa mwananchi,au ungeangalia mazuri yaliyopo kwenye sera za chadema ukachanganya na yako ukapata kitu supa huu ni wizi lakini wizi wa kimaendeleo zaidi na inakubalika, yaani mmekaa kimajungu majungu tuu.Itakusaidia nini eleza sera zenu tuzielewe na mikakati halisia sio mnaleta sanaa sanaa tu apa,wizi mtupu!Naamini umepita kwa uchakachuaji si vinginevyo hapo unawaza cha kuchakachua kigine ni nini.Mtatumaliza jaman!
 
Halafu huo muda wa kukaa kuchambua dosari za mwenzio unaupata wapi,badala ya kufikiria utafanya nini cha kusaidia kumkomboa mwananchi,au ungeangalia mazuri yaliyopo kwenye sera za chadema ukachanganya na yako ukapata kitu supa huu ni wizi lakini wizi wa kimaendeleo zaidi na inakubalika, yaani mmekaa kimajungu majungu tuu.Itakusaidia nini eleza sera zenu tuzielewe na mikakati halisia sio mnaleta sanaa sanaa tu apa,wizi mtupu!Naamini umepita kwa uchakachuaji si vinginevyo hapo unawaza cha kuchakachua kigine ni nini.Mtatumaliza jaman!

jamani tujadili issues, mimi nimeongelea nilivyojibu sera ya elimu bure ya chadema, kama kuna maoni yangetolewa ingenisaidia hata katika utumishi wangu, kama hakuna maoni, nanti mtakuwa mmeshindwa kuboresha utumishi wangu japo nimewapa fursa. hata hivyo nashukuru nimepata mengi sana ya kunisaidia kutoka katika mawazo yenu.

asanteni sana
 
tulizeni hisia zenu ndugu, angalieni mustakabali wa taifa kwanza. hivi kwako habari ya maji ya bomba jimbo zima ni ndogo? tena kwa nchi kama yetu?

haya ndugu sikiliza muziki kutokea dodoma
Thanks sana, hapo kwenye red hapooo

labda nikuulize... nini maana ya mustakabali wa taifa? maslahi ya taifa nini?
Labda pia nikuulize taifa ni nini?

au uliwahi kuishi sauzi?
 
..Uganda walikuwa wanatoa elimu bure toka msingi mpaka o-level. majuzi Museveni kaongeza na a-levels.

..suala hili litahitaji pesa nyingi. lakini badala ya kulipinga wazo hili 100% labda tungeanza kutoa elimu ya chuo kikuu bure.

..vilevile ni lazima kuongeza bajeti ya elimu ili kuboresha viwango, manaake sasa hivi kinachotolewa siyo elimu bali ni uozo tu.
 
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.

mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.

mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:

1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.

niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.

kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima

ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.

hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mbeleko iliyotumika kukubeba mwaka huu haitakuwepo 2015, kwahiyo jiandae kuangushwa vibaya sana.

Unaonekana kupenda misifa, lakini miaka hii mitano uliyokabidhiwa na wananchi(nec?) itasema ukweli.

Na muda si mrefu mtaanza kunadi elimu ya bure kwakuwa mnapenda kudandia hoja za wenzenu, na tayari tumemsikia maghembe ameanza kunadi sera yenu ya kunyoosha hadi form four.

Mlianza kwa kuondoa mitihani ya darasa la nne na kidato cha pili, sasa mmekurupuka na kuja na hiyo ya wote wanaomaliza la saba kunyoosha kwenda kidato cha kwanza, wakati tafiti zinaonyesha karibia 50% ya wahitimu wa darasa la saba hawajui kusoma wala kuandika, ccm bure kabisa nyie.
 
Huyo ni ccm pure, Labda angetuelza ni mbunge wa wapi ili tumfuatilie kama kweli atatekeleza anayosema.
Isije ikawa ni katika walewale waliobebwa na NEC, Polisi,TISS nk.
 
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.

mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.

mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:

1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.

niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.

kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima

ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.

hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Holly crap!!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom