Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

Rais kutawala nchi kwa nguvu ya majeshi ya mapepo.. Sheikh Yahya alimkirimia.. hadi leo hajakanusha!
 
CHADEMA kupata NGUVU kuliko awamu yoyote ile.
 
Yafuatayo ni makosa 20,niliyoyaona binafsi katika uongozi wa awamu ya nne.

1.migogoro kati ya vyama siasa
2.siasa za matusi na udini majukwaani
3.migogoro ya kidini
4.mauaji ya viongozi wa kidini
5.mauaji ya wananchi kiholela
6.mikataba mibovu nchini
7.Rushwa kila idara
8.ukandamizwaji vyombo vya habar na mauji ya waandishi
9.mauaji na utekwaji wa wanaharakati
10.migomo ya wanavyuo na wafanyakaz
11.matokeo mabaya ya kidato cha nne kuwahi kushuhudiwa
12.mfumuko mkubwa wa bei
13.madeni mengi kwa serikal
14.mzaha kwa wabunge na uwajibikaji duni
15.kupindishwa sheria bila sababu maalum
16.kubadilishwa kwa viongozi mfano,wakuu wa wilaya na mikoa kila mwez
17.kuamliwa mambo yetu ya ndani na mataifa ya nje hasa ulinzi
18.utatuzi duni wa migogoro
19.kuibuka kwa hisia za kidini kuliko kipindi chochote
20.malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kila kona
Mwaweza kuongezea.....kesho ntaandika mazuri 20 pia

Je nchi inatawalika?
 
Wizi wa waziwazi wa raslimali zetu,Twiga na wanyama wengine walipanda ndege.
 
Wanajamvi it it hightime tujadili mapungufu ya serikali iloyopo madarakani ili hawa wanaojipitisha kutaka urais, watupe sera zao zitakuwaje: mimi niliyoyaona ni yafuatayo
1. Elimu imeendelea kushuka ubora
2. Maslahi ya wafanyakazi hayakujaliwa ili waongezeg tija.
3. Suala la afya kwa jamii halikupewa kipaumbele
4. Vijana wengi hawana ajira
5. Rushwa imekithiri kila maeneo mpaka inaonekana ni jambo la kawaida.
6. Muungano umetetereka kwa kuruhusu zanzibar izidi kufanya mambo yao
7. Heshima ya tanzania imepungua sana nje rais amekuwa ombaomba sana.
8. Usalama wa wanainchi umezidi kuwa shakani kuibuka kwa mabomu kila kona ya tanzania
9. Nchi yetu kuanza kumegwa huku tunatizama eg lake nyasa.
10. Kushidwa kuyaboresha makampuni yaliyochini ya serikali eg ATCL serikali haijatoa mtaji wala kununua ndege hata moja.
etc etc etc............wana jamvi kazi kwenu!!
 
Huna hoja katunge uongo mwingine huu umekwama bavicha wenzako pamoja na mambo mengine wanauwezo angalau wa kulea watoto wewe sijui unaweza nini.
 
Back
Top Bottom