Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,279
CAG alibaini kukosekana na Wataalamu wanaoweza kusimamia na kufuatilia kitaalamu miradi inayotekelezwa hususani kwenye Kamati za Shule. Mfano, Miradi ya Nzega, Nachingwea na Mpwapwa ilifanywa na Wahandisi waio na sifa na kupelekea kuwa na majengo yasiyo na kiwango kinachostahili
Wasimamizi wa Miradi hawazingatii Sheria ya Ununuzi ya Umma (2011) na Mwongozo wa OR-TAMISEMI unazozitaka Taasisi zinazofanya manunuzi kuandaa takwimu za Vifaa vitakavyotumika katika utekelezaji wa miradi.
Wasimamizi wa Miradi hawazingatii Sheria ya Ununuzi ya Umma (2011) na Mwongozo wa OR-TAMISEMI unazozitaka Taasisi zinazofanya manunuzi kuandaa takwimu za Vifaa vitakavyotumika katika utekelezaji wa miradi.