Mapunda: UVCCM ni ya vijana wote

Mapunda: UVCCM ni ya vijana wote

NKUU SINDE KWETU

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
830
Reaction score
91
Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imesema kuwa taasisi hiyo ni ya vijana wote bila kujali chama.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa UVCCM taifa, Sixtus Mapunda, wakati akizungumza na wananchi wa Kibaha kwenye viwanja vya Mwendapole.

Vijana wote wa Tanzania karibuni UVCCM mpate mwongozo sahihi wa siasa zenye manufaa na maendeleo kwa Taifa letu.

SOURCE: Tanzania Daima.

NKUU SINDE, Nduguyenu!
 
UVCCM hakuna siasa wala majungu kwenye mitandao ya kijamii. Ni chuo sahihi kwa wanasiasa.
 
Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imesema kuwa taasisi hiyo ni ya vijana wote bila kujali chama.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa UVCCM taifa, Sixtus Mapunda, wakati akizungumza na wananchi wa Kibaha kwenye viwanja vya Mwendapole.

Vijana wote wa Tanzania karibuni UVCCM mpate mwongozo sahihi wa siasa zenye manufaa na maendeleo kwa Taifa letu.

SOURCE: Tanzania Daima.

NKUU SINDE, Nduguyenu!

hayo maneno yako njoo uyasemee Arusha na wakati unasema maneno hayo huwe umevaa shati la kijani uone jinsi utakavyozomewa
 
1. Huwezi kuleta ngonjera kama hizo wakati vijana wanalalamika humu kuhusu,vigezo,kupata na uchelewaji wa mikopo vyuoni!!!!!

2. Watoto(vijana wa kesho) wanakaa chini mashuleni!!!!!

3. Vocational trainings ambazo zingekuwa suluhisho la vijana walioko vijiweni halimo kwenye harakati zenu za kila siku!!!!

4. Hamuwaelezi vijana ndani ya miaka mitatu ijayo mtakua mmewafikisha wapi katika maendeleo binafsi na Taifa kwa ujumla!!!!


Sipendi sana mtu anasema maneno ambayo anajua kabisa hata yeye moyoni hayasadiki!!!
 
Back
Top Bottom