Mapokezi ya kocha mpya wa Yanga.

Mapokezi ya kocha mpya wa Yanga.

Amekaa kipadre padre hivi. Kocha kweli? Au safari hii mmetuletea mchungaji
Unataka watu wakutukane wewe!! hahaha huyu jamaa badala aende akafanye mambo ya msingi anakuja kukimbizana na watu wa jangwani!
 
anitwa nani huyu kocha niangalie CV yake
 
Wanyama pori mjipange!Msimu ujao mtaisoma Jangwani!Chezea sisi weyeeeee!!!
 
Timu yangu hii ndio hapo tu inaponiacha hoi, mbwembwe nyiingi kesho watashindwa mlipa mshahara , haya mshamsajiria wachezaji aghhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Simba: tukiwapiga kiganja tena wataanza oooh, huyu kumbe sio kocha ni fundi rangi, oooh tumehujumiwa, oooh hajui

goal2 penat 3 kweli nyie wakale,. Sjawai ona duniani
 
Yanga wanaingia kwenye ndowa na mwiko wa ndowa ni shida na raha. Isiwe mapokezi raha na kutengana karaha!
 
Ivi kwa nini Yanga au Simba hawajawahi kuleta kocha toka Arabuni?
 
Mkuu nia yako sio nzuri kabisa,watu washatulizwa na maumivu wewe unalianzisha.Maswali yako magumu hayajibiki.

mimi namuonea hurumaa huyu mzungu; angejua uubabaishaji wa hawa watu angepiga u turn haraka.
 
Back
Top Bottom