Mapokezi Simiyu Mashallah Tabarakallah

Mapokezi Simiyu Mashallah Tabarakallah

Usisahau pia fuso limeua wananchi katika harakati zenu za kusomba wananchi kama mizigo......
 
CCM wanadharau sana wananchi
FB_IMG_17502180175551284.jpg
 
Wana Simiyu mmetuheshimisha nchi nzima. Ziara imefana mno. RC apandishwe cheo, inshallah, kapambana. Oktoba tunatiki na Mpina atapangiwa hukooo Nanyumbu!
20250618_060702.jpg
20250618_052348.jpg

Sio wa simiyu tu hata mikoa mengine ilitoka kwenda kujaza uwanja kwa vile usafir ni bure kila mmoja akaona aende tu ila sio kwa mapenzi yao ya kwmaba mnakubalika.
 
Back
Top Bottom