Pro-Chadema kila siku mnasema Zitto ni msaliti leo mnataka aweke bendera.
Wewe ndiyo muongo angalia picha Zitto kaonyesha V.Pro CCM hujamsikia anakwambia atakuwa mtu wa mwisho kutoka sasa kama bado yuko chadema kwa nini anaona aibu kushika bendera na kupiga V ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Nimefuatilia sana picha nyingi zilizowekwa humu JF toka Kigoma wakati wa mapokezi makubwa aliyopewa Mhe. Zitto Zuberi Kabwe.
Cha kushangaza alama za CHADEMA wala sikuziona za kutosha.
Hii inaamnisha nini? Je inawezekana ikawa kwamba waandaaji wa mapokezi yale walisahau bendera na makombati yao ofisini/nyumbani?
Fuatilia picha hizo hapa chini kwa hisani ya: Tema Mate
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nayojiri-kigoma-katika-mapokezi-ya-zitto.html
Kipindi mgogoro upo moto mlikuwa mnaandika R.I.P CDM Mlivyoona kasi ya chadema bado ni 100% mmebadili R.I.P CDM KIGOMA. Msipime kina cha maji kwa mguu. peeeeeopleeeees!
Mbona Zitto anaitaka,mwambie aondoke bas..Hawaitaki tena chadema kwa sababu inawabagua
Weka picha..Walizichoma moto baada ya kusikia kijana wao amenyanyaswa na chadema kwa kuitwa msaliti
We kweli kapuku,kama yeye ni maarufu kuliko CDM anang'ang'ania nini Chadema wakati hatakiwi..zitto ni maarufu kuliko CDM
wala huitaji ufundishwe darasani hili.
Fanya simple research tu
utagundua hilo.
No Zitto,No CDM yenye uwezo wa kujenga hoja
zitto ni maarufu kuliko CDM
wala huitaji ufundishwe darasani hili.
Fanya simple research tu
utagundua hilo.
No Zitto,No CDM yenye uwezo wa kujenga hoja
zitto ni maarufu kuliko CDM
wala huitaji ufundishwe darasani hili.
Fanya simple research tu
utagundua hilo.
No Zitto,No CDM yenye uwezo wa kujenga hoja
Hawaitaki tena chadema kwa sababu inawabagua
zitto ni maarufu kuliko CDM
wala huitaji ufundishwe darasani hili.
Fanya simple research tu
utagundua hilo.
No Zitto,No CDM yenye uwezo wa kujenga hoja
Ritz walevi wa gongo huwa hawaishiwi vituko.Pro-Chadema kila siku mnasema Zitto ni msaliti leo mnataka aweke bendera.
Leo mtachambua mpaka alivyo funga nyuzi ya kiatu Zitto, roho zinawauma mpaka mnaumbuka, Mara bendera,Mara kombati,yashawashinda ebu pumzikeni, mwenzenu Mungu kamjalia kipaji anacho na anakubalika,sasa msijitie BP isokua ya lazima, mkimpenda atakua moyoni kwenu,mkimchukia atakua mawazoni mwenu,kwa hivyo chaguo ni lenu.,,,,We Love You Zitto..