Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 7,004
- 9,263
Nakubaliana na wewe , kwani kila mdada kwetu amefika chuo? wa chuo ni kiwango kidogo sana wengi tu wanaishia form 6 na form 4 wanaenda unesi,uhasibu na ualimuMiaka 21 kamaliza University kwa taarifa yako
sijaelewa unamaanisha nini kwakweli kumtaja adeleAdele kaolewa lini? Beyonce?
Ulipoteleaga wapi??hao matajiri ila wanataka huduma at least watakua na standards zao
masikini ni worse zaidi
hapa kikubwa ni umasikini wala si tabia
kitabia wanadamu wote ni average tu,ila umasikini is a motherfucker mzee usipime kabisa!
Wapo wanaomaliza na body count iyo. Hao ndio mademu tuliokua tunaponea wakati wa kujitafuta, hata sasa hivi tunakutana nao viwanja kwaiyo information zao tunazo. Demu akiwa na wastani wa kulala na mwanaume mmoja kwa wiki miaka mitatu ya chuo mbona iyo namba inafika.Kwani wewe umesoma chuo gani ambacho kila binti anatembea na 100+ men?
Bweni kwa maana ya hostel za chuo huwa wanakaa mwaka wa kwanza, kuanzia mwaka wa pili huwa wanapanga mageto au kukaa hostel za nje ya chuo.
Ukweli kabisaa!Punguza bas kizungu mbona unajua kuandika swahili vzr sana.
Mke mwema atoka kwa Mungu, na mda mwingne mke mwema huwa ni suala la bahati tu.
Anaweza akawa bikra na mwisho wa sku ndoa ikafa na anaweza akawa bikra lakin baada ya kumbikiri tu akajua utamu wa mb@@ ndo akazibuka na ndoa ikawa chungu.
Wewe umesoma chuo gani ambacho kila wiki kila msichana analala na mwanaume?. Naona unataka kulazimisha umma kuwa mabinti wote waliomaliza chuo body count ni 100+?Wapo wanaomaliza na body count iyo. Hao ndio mademu tuliokua tunaponea wakati wa kujitafuta, hata sasa hivi tunakutana nao viwanja kwaiyo information zao tunazo. Demu akiwa na wastani wa kulala na mwanaume mmoja kwa wiki miaka mitatu ya chuo mbona iyo namba inafika.
Nyie ambao mnawaingilia mademu kwa gia za kigentleman ni ngumu kujua ukweli. Ukiishi na mademu kibadboy ni rahisi hata wao wenyewe kukwambia nyendo zao
Sio lazima nikwambie chuo nilichosoma lakini wanaomaliza na iyo namba wapo wengi sana.Wewe umesoma chuo gani ambacho kila wiki kila msichana analala na mwanaume?. Naona unataka kulazimisha umma kuwa mabinti wote waliomaliza chuo body count ni 100+?
Point ni kuwa sio chuoni kwako uliona idadi kubwa ya malaya ukafanya hitimisho kuwa wasichana wa chuo Tanzania ni malaya, no you are wrong my big brother!Sio lazima nikwambie chuo nilichosoma lakini wanaomaliza na iyo namba wapo wengi sana.
Si wanaume ndo wanalipaMkuu umaskini ndio unawawezesha kufanya House party na starehe za gharama?
Natafuta Ajira hayuko timamu...labda hao wanachuo wanangonoka na same sex .kama na wanaume basi akemee wotee...❌hivi mko timamu?
Nilipita pita chuo fulani, kule kuna hostel zipo BLOCK A-F, A&B NI WASICHANA, C HADI E NI WANAUME, F NI POSTGRADUATE{ME &KE}..Hata hivyo kwani ni wasichana wangapi wanapitia hiyo series ya hao wanaume wote?
Unaweza kukuta ni wasichana 4 kati ya 50,000 ndio wanapitia hiyo trend ya hao wanaume. Acha kupotosha umma
Vyuo almost vyote trend ni iyo iyo.Point ni kuwa sio chuoni kwako uliona idadi kubwa ya malaya ukafanya hitimisho kuwa wasichana wa chuo Tanzania ni malaya, no you are wrong my big brother!
Mkwawa hapoNilipita pita chuo fulani, kule kuna hostel zipo BLOCK A-F, A&B NI WASICHANA, C HADI E NI WANAUME, F NI POSTGRADUATE{ME &KE}..
wakati wa zero draft za ratiba za masomo, weekend kama hakuna test, na mitihan ya UE ikiwa imeisha utakuta wamekaa wawili wawili usiku has baada ya kutoka canteen/complex..
kinachoendelea hapo n matumiz ya midomo mwanzo mwisho, ukikutwa na auxilliary pt ndo hvo..huko kuna uwanja, ukiingia tu upo kushoto, sasa kule mwisho wa uwanja mwisho kabsa kwenye ukuta buguruni ikasome.. kuna wale wanajiandaa kutoka hujifanya walokole kukaa kwenye mnara a.k.a block G.
ulipaswa useme 4/50000 ndo hawafanyi angalau body count inasome kwenye gauge ya 3 au 4.
ZILE HOSTEL NI SODOMA ILIYOPAKWA RANGI YA BLUE BAHARI ILIYOFIFIA.
Vyuo almost vyote trend ni iyo iyo.
Na huko kwa chief maisha ni hayo kumbe tena?Mkwawa hapo
Kwahiyo ukawapiga threesome?Kama mwezi hivi umepita nilikua iringa. Wikiend moja nikaingia club moja hivi ipo ghorofani inaitwa warm up. Wakajisogeza mabinti wawili pale kupiga piga nao story waliniambia wanasoma Tumaini university.
Baada ya kuwapiga maswali mawili matatu nikajihakikishia ni kweli wanasoma tumaini maana kile huo mimi nakijua vizuri, mzee wangu alikua lecturer pale baada ya kustaafu serikalini.
TUmepiga mtungi mdogo mdogo mpaka mida fulani nikauwauliza utaratibu wa kuondoka upoje wakaniambia wote wawili 60k.
Mzee wangu alikua lecturer wa mzumbe, alivyostaafu Tumaini wakamchukua. Maisha ya mademu wa chuo nayajua vizuri sana
Mimi nipo hapa kijichi kuna kiwanja kinaitwa getway kila wikiend mademu wa TIA wa campus ya kurasini wanakuwepo kibao. Taarifa za hawa mademu tunazijua vzr tu.Nilipita pita chuo fulani, kule kuna hostel zipo BLOCK A-F, A&B NI WASICHANA, C HADI E NI WANAUME, F NI POSTGRADUATE{ME &KE}..
wakati wa zero draft za ratiba za masomo, weekend kama hakuna test, na mitihan ya UE ikiwa imeisha utakuta wamekaa wawili wawili usiku has baada ya kutoka canteen/complex..
kinachoendelea hapo n matumiz ya midomo mwanzo mwisho, ukikutwa na auxilliary pt ndo hvo..huko kuna uwanja, ukiingia tu upo kushoto, sasa kule mwisho wa uwanja mwisho kabsa kwenye ukuta buguruni ikasome.. kuna wale wanajiandaa kutoka hujifanya walokole kukaa kwenye mnara a.k.a block G.
ulipaswa useme 4/50000 ndo hawafanyi angalau body count inasome kwenye gauge ya 3 au 4.
ZILE HOSTEL NI SODOMA ILIYOPAKWA RANGI YA BLUE BAHARI ILIYOFIFIA.
Fuatilieni mienendo ya mabinti na wadogo zenu wa kike uko chuoni wanaposoma. Kwenye suala la sex mwanaume na mwanamke hauwezi kuwaweka kwenye mzani mmoja.Natafuta Ajira hayuko timamu...labda hao wanachuo wanangonoka na same sex .kama na wanaume basi akemee wotee...❌