Nataka kupika pilau ila sijawahi kupika. Wabobezi wa mapishi hayo nahitaji ushauri wenu nifanyaje ili nipike pilau zuri. Ni mara ya kwanza nataka nipike chakula hicho pendwa, nahofia nisijepika madabudabu nikaishia kumwaga. Sitaki pilau bubu nataka pilau lenyewe hasa, naombeni msaada wenu wapishi werevu kabla sijanunua mahitaji