Mapishi Tanga ndo huko yalikozaliwa

Mapishi Tanga ndo huko yalikozaliwa

Muyabi colors

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
2,679
Reaction score
3,828
Chai ya Fatu…Chai ya kitanga šŸ‘Œ Chai imepikwa sio kuchemshwa chai ya mtoto hii yinyi mnaita eti peace au pisi šŸ”„ukiiangalia tu unapata hamu kuinywa šŸ˜‹

Na Kuna zile chai zenu zile za majani na sukari ukiiangalia inakung’ongašŸ˜±šŸ¤ŖšŸ˜… hampiki chai mkatulia chai nayo haiwezi kutulia muda wote mnapika mnakimbia kimbia kama mnahama ama mko ukimbizini kaeni mtulie nyie mnageuka geuka mara huku mara kule 🤣

Wengine mnaweza mkaona ni kama uchafu nasemaje!? huko ni kujifunga🤣

NIWATAKIE JUMAPILI NJEMA kwakweli šŸ™Amina sana tupo pamoja
20250105_151850.jpg
 
Chai ya Fatu…Chai ya kitanga šŸ‘Œ Chai imepikwa sio kuchemshwa chai ya mtoto hii yinyi mnaita eti peace au pisi šŸ”„ukiiangalia tu unapata hamu kuinywa šŸ˜‹

Na Kuna zile chai zenu zile za majani na sukari ukiiangalia inakung’ongašŸ˜±šŸ¤ŖšŸ˜… hampiki chai mkatulia chai nayo haiwezi kutulia muda wote mnapika mnakimbia kimbia kama mnahama ama mko ukimbizini kaeni mtulie nyie mnageuka geuka mara huku mara kule 🤣

Wengine mnaweza mkaona ni kama uchafu nasemaje!? huko ni kujifunga🤣

NIWATAKIE JUMAPILI NJEMA kwakweli šŸ™Amina sana tupo pamoja View attachment 3193184
Sufuria mmeiokota jalalani?
Screenshot_20250105-154116.jpg
 
Tanga mnasifa sana kama shemeji zangu(mwamu) Wahaya mnsahau kuwa mnachofanya ni maigizo ambayo kila mtu anayafanya huku ktk mikoa mingine.
 
Back
Top Bottom