Kwa mujibu wa 'katiba ya ccm 1977,toleo la 2010. Wajumbe wa mkutano mkuu waliamua kuunda ccm ili kuendeleza mapinduzi ya KIJAMAA, ndio maana kikaiwa chama cha mapinduzi.
Katika kuleta hayo mapinduzi walikubaliana ccm iwe chombo madhubuti kimuundo , fikra na vitendo vyake.
Walikubaliana kufutilia mbali unyonyaji,uonevu,udhalilishaji na kudhoofisha au kuzorotesha maendeleo ya taifa.
Je,mbona haya mapinduzi hatuyaoni ?
Katika kuleta hayo mapinduzi walikubaliana ccm iwe chombo madhubuti kimuundo , fikra na vitendo vyake.
Walikubaliana kufutilia mbali unyonyaji,uonevu,udhalilishaji na kudhoofisha au kuzorotesha maendeleo ya taifa.
Je,mbona haya mapinduzi hatuyaoni ?