KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
<br /><br /><br />
<br /><br />
plz badilisha id,wakurya ni Watu wenye msimamo na siyo mashoga kama wewe,unalidhalilisha kabila langu
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kila kabila lina mashoga inawezekana huyu ndio wa kwenu
CCM kama ni ndege wa kulinganishwa naye siyo kunguru, bali BUNDI ambaye akilia mchana ni dalili ya uchuro.Waache wafu wazikane, vita vya panzi kama hawa Chadema, NCCR, TLP etc ndiyo furaha ya kunguru CCM. Sasa tunasubiri CHADEMA nao watoane ngeu juu ya Shibuda na Zitto. Yetu (CCM) macho tu.
Tena CCM ni makunguru hasaa maana wananchi tunashindwa kuyafuga sasa. hujakosea bwana mwita wa 25Waache wafu wazikane, vita vya panzi kama hawa Chadema, NCCR, TLP etc ndiyo furaha ya kunguru CCM. Sasa tunasubiri CHADEMA nao watoane ngeu juu ya Shibuda na Zitto. Yetu (CCM) macho tu.
<br />Mwenyekiti NCCR - Mageuzi, Mwenyekiti TLP, Mwenyekiti UDP. Viongozi hawa watatu wa upinzani hawako kwa maslahi ya wananchi wanaowaongoza, bali wapo kwa kuwadhoofisha wananchi na kujaza matumbo yao binafsi kupitia siasa, hii ni hatari kwa jamii wananchi<br />
tunataka upinzani uwe ni kitu kimoja na kuweza kufikia lengo mwaka 2015 na vizuri NCCR wameshakiona hicho kikwazwo na inatkiwa<br />
viongozi na wanachama wa TLP na UDP nao wawe katika msimamo huo huo hili tuweze kufika pale tunakodhamiria.
Waache wafu wazikane, vita vya panzi kama hawa Chadema, NCCR, TLP etc ndiyo furaha ya kunguru CCM. Sasa tunasubiri CHADEMA nao watoane ngeu juu ya Shibuda na Zitto. Yetu (CCM) macho tu.[/QUOTE
Kwa sasa inabidi uwe na ROHO YA PAKA kujipambanua kwamba wewe ni mwana CCM.
du kumbe ccm ni kunguru,kageuka lini kutoka kuwa na magamba hadi manyoya!!!??Waache wafu wazikane, vita vya panzi kama hawa Chadema, NCCR, TLP etc ndiyo furaha ya kunguru CCM. Sasa tunasubiri CHADEMA nao watoane ngeu juu ya Shibuda na Zitto. Yetu (CCM) macho tu.