Mapichapicha ya CUF Tanganyika (Mungiki)

CUF bara wajitathimini, Heshima ya CUF kwa kiasi kikubwa inaundwa na Zanzibar
 
Kama akidi inatimia ilikuwaje sharifu hamad akaja mamluki wengine 30,ambao sio wajumbe
 

njaa mbaya....dah!!
 
You are barking at the wrong tree!
Nimekutafsiria maana ya maneno ya Abdul Kambaya. Yaani nini alimaanisha aliposema kibaraka wa mabepari wa Tanganyika.
Personally, I don't care about weird parties/people.
 
Alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi sasa anafanya uenezi wake ipasavyo.
 
Hana akili huyu,anampigania Lipumba alieondoka CAF kwa akili zake timamu,watu wengine bure kabisa
Hivi nyie machadema kwa nini mnamuogopa sana Lipumba? Kwa nini msijadili uchaguzi wa mwenyekiti wenu wa maisha?
 
Tatizo dhambi ya Usaliti inamtafuna LIPUMBA na timu yake(Kambaya,sakaya +mungiki)waliyoifanya wakati wa kampeni Mwaka Jana.
Msaliti ni Lipumba aliyeyakimbia mabadiliko feki, au ni DJ aliyekuwa tayari kumpokea mtu aliyeshiriki katika kumponda kisiasa kwa miaka nane?.
 
Kama Mbowe and the team wasingebadili gear angani na kumkaribisha "mgeni" UKAWA Tifu hili lisingekuwepo,manake pale ilikuwa ndio mwanzo wa kupoteana, na yote yanayotokea CUF leo chanzo ilikuwa ni siku ile GEAR ILIPOBADILISHIWA ANGANI.
 
Weka nyama ili jamii ikuelewe
Kama Mbowe and the team wasingebadili gear angani na kumkaribisha "mgeni" UKAWA Tifu hili lisingekuwepo,manake pale ilikuwa ndio mwanzo wa kupoteana, na yote yanayotokea CUF leo chanzo ilikuwa ni siku ile GEAR ILIPOBADILISHIWA ANGANI.
 
Hivi nyie machadema kwa nini mnamuogopa sana Lipumba? Kwa nini msijadili uchaguzi wa mwenyekiti wenu wa maisha?
Unikome,mimi sio CHadema, huyo Lipumbavu aliondoka kwa akili timamu, nimeamini kusoma sio kuelimika, ina maana aliondoka bila kuwa na plan B? Hakufocus sideeffects katika maisha yake kutokana na maamuzi yake ?
 
Unikome,mimi sio CHadema, huyo Lipumbavu aliondoka kwa akili timamu, nimeamini kusoma sio kuelimika, ina maana aliondoka bila kuwa na plan B? Hakufocus sideeffects katika maisha yake kutokana na maamuzi yake ?
Unakaa Nyagwa nini? Unayemtolea lugha ya ufedhuli hapa nani? Kwenda kashikishwe UKUTA bila K.......jel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…