Mapenzi

Mapenzi

Ritts

Senior Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
136
Reaction score
33
Kwanini wanaume waki do na wapenzi ambao sio wake zao huwa wakakuwa na nguvu zaidii?
 
tatizo hujitokeza wanandoa wanapozoeana na mvutano wa kimapenzi baina yao kupungua. wa nje anapatikana kwa muda mchache, na chakula kinacholiwa kwa kificho huwa kitamu kuliko kinacholiwa kwa wazi!
 
Ndio mm nina dem wangu siku natoka nae napiga nne nyumbani sijawahi kupiga 4
Kumbe na chat na msaliti! Subiri yatakayo kukuta we jione mjanja tu dawa yako ipo kwenye mafiga mawili
 
tatizo hujitokeza wanandoa wanapozoeana na mvutano wa kimapenzi baina yao kupungua. wa nje anapatikana kwa muda mchache, na chakula kinacholiwa kwa kificho huwa kitamu kuliko kinacholiwa kwa wazi!

Kweli umenena ila wakati mwingine hatuli kitu labda soda tu lakini shughuli inakuwa ya ukweli
 
Kwanini wanaume waki do na wapenzi ambao sio wake zao huwa wakakuwa na nguvu zaidii?


Kwanini ukivaa nguo mpya unajifaragua na kila wakati kujiweka sawa mabega nk ..........

Silika ya mwili wa mwanadamu hisia huwajuu na hamasa kwa jambo geni na tofauti na alilolizoea.
 
tumetofautiana mkuu ,yaani mimi kwa wife ndiyo mwake mwake mpaka hata wazo la kutoka nje halijawahi kupita kichwani
 
hahah safi mwana wee kuwa mzee wa migegedo tuu....mwanaume lazima uonje nje bwana
 
Mkuu E.Salt, Haya makitu mi naona ni mageni kwenye nyumba yangu..Hata Thanda sina imani kama anaweza sikumoja kujanitenda hivyo. Nitaumia sana. Ila namshukuru Mungu wetu anayetupigania kuwa haijawahi hata siku moja tangu tuoane Thanda akanifanyia hivyo. Nina Mume wa aina yake jamani.

Thando,
for
Thanda.


mkeo nae nje anaeza kuwa anapiga zaidi ya hizo!!!!
 
Sasa mkuu c unipe maujanja uliotumia

inategemeana na mambo mengi sana mkuu ila kikubwa ni akili yako unavyoiweka juu yake ,upendo wako kwake, imani yako kwake ,kuwa na hisia kuwa unakuwa salama unapokuwa mikononi mwake ,mmeshazoeana na kujua limits za kila mmoja ,ubunifu na uvumilivu, kuleta msisimko/excitement tofauti tofauti kila siku n.k..........
 
wanaume wote wangekua kama ww me ningeolewa hata kesho,tatizo asilimia kubwa c waaminifu

kiukweli mke ni mtamu aseeeh! labda kama hamuendani na siyo chaguo lako. . . . . .na hata huko kukosekana kwa uaminifu mwanaume anatakiwa afanye hivyo kwa hisani ya snowball ,i mean responsibly.......ila mwisho wa siku there is no where you can feel safe and secured zaidi ya kwa mkeo(take my words for this)
 
Back
Top Bottom