Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
- Thread starter
-
- #121
Utakiwi kuwa weak epukana na hiyo hali maana itakucost katika maisha yako yote don't be to emotional
We tell people we love them when we need or want something because real love happens in movies only not in real life
27 yrs ndo mingi,mi nilioa na 31yrs(first time kuanza mahusiano)cha ajabu naye nilimkuta hajaguswa(26yrs).Hata hivyo ulikaa muda mrefu sana na hiyo "bikira" yako ya kiume!!!!
Enzi zetu tulikuwa tunacheza mpira mtaani,barabara ya lami. Kung'oa kucha ya mguu kwa kupiga jiwe badala ya mpira ilikuwa ni kawaida sana, unafunga plaster unaendelea kucheza mpira. Au unaweka mchanga kwenye kidonda. Usifananishe maumivu ya HISIA na maumivu physical ambayo ukinywa panadol yanapoa! Maumivu ya hisia yanaweza kukupa magonjwa yasiyoambukiza na yasiyotibika ukafa kabla ya siku zako au ukaua wengine.Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.
Enzi zetu tulikuwa tunacheza mpira mtaani,barabara ya lami. Kung'oa kucha ya mguu kwa kupiga jiwe badala ya mpira ilikuwa ni kawaida sana, unafunga plaster unaendelea kucheza mpira. Au unaweka mchanga kwenye kidonda. Usifananishe maumivu ya HISIA na maumivu physical ambayo ukinywa panadol yanapoa! Maumivu ya hisia yanaweza kukupa magonjwa yasiyoambukiza na yasiyotibika ukafa kabla ya siku zako au ukaua wengine.
Una dalili za kupata vidonda vya tumbo kwasababu ya mawazoMimi kila siku tumbo langu linaunguruma na kwa mawazo yaani acha tu jana nilimchukia wangu kwa mambo yasioniridhisha na namfahamisha sana lakini baada ya siku chache anarejea tena Yale Yale.
Mungu aniepushie tu yasinikute kwakweli.
I don't know what love is..
Mimi kila siku tumbo langu linaunguruma na kwa mawazo yaani acha tu jana nilimchukia wangu kwa mambo yasioniridhisha na namfahamisha sana lakini baada ya siku chache anarejea tena Yale Yale.
Mara nyingi ukiona mtu anatamka hivyo ujue yalishamkuta akanyooka hivyo hajali tena. Tena hawa wenzetu huwa nahisi wanaumia zaidi.Daah ninyi so ndio huwa mnasema hamuumii? Mwanamke akikupiga kibuti unashangilia maana amekupa nafasi ya kuchukua kitu kipya. Nikikupa pole itakuwa ya kinafiki wacha tu niishie hapo
Mkwe kwahiyo binti yangu umempangaπππSounds like a funny joke until you have to swallow this bitter pill. Sikuwahi kukongoroka kama jinsi nilipopata first heartbreak. Kwa sasa nishakuwa team fisi πππ nayaendesha mapenzi wala sio abiria no more. Japo i still love deeply ila ubongo wangu uko nyuma ya moyo wangu full time.
Its very easy to manage ukiweza kuwa na options za wanawake. Make sure usiwe na demu mmoja kuepuka kuegama zaidi kwake
πππππHuwa wanalia moyoni mpendwa.
πππKwa maandishi kama haya ujasiri unawezeka ila kiuhalisia haiwezekani ukute wewe unalia na kamasi kabisa.
Same applied to men, hutakiwi kujiweka hadi akuone kuwa kwake haupumui wala hauhemi. Hamna rangi utaacha ona.Huo nauita ubatizo wa moto, sasa sahivi umezaliwa upya katika maswala ya kimahusiano. Ukilizwa tena ujue umejitakia ila hivyo ndio gemu inavyokwenda. Kingine soma tabia za wanawake cheki makala mtandaoni. Zilinisaidia sana ikiwamo kufahamu kuwa the more you lurk around a woman the more he find you clingy.
Ukimuonesha kumjali sana KE anakuona uko weak sana it turns her off you should not be overnice.
The more you hurt yourfself pleasing her the more she feels insecure about you. Unatakiwa umjali kwa kiasi tu usijiumize kuonekana hero mbele yake maana mwisho atakuona kituko. Ndio walivyo hao.
Mwisho ujifunze kukaza, dont be a doormat sio kila unachoombwa unatoa tu. Vingine kataa, set standards zako mzee. Try to loose her at times analeta kwere, atajitudisha mwenyewe on track sio unafanyiwa vituko unang'ang'ania tu kama mamaako mzazi huyo. Let her loose akisepa ujue hakuwa wako
πππππ
Hadharani unaona mtu anajitutumua kumbe ndani anaungua.
Hahaha bado mpo eee???
***** subiri unyooshwe kwanza.
Wenzako wana invest kwenye mashamba yakorosho,mitiki wewe unainvest kwenye mapenzi