Mapenzi yanauma jamaniii

Kinachokuuma hapo ni hujawahi kupewa mzigo na ile idea kwamba anaenda kupewa jamaa mwingine

Pole
Hapana dada kinachoniuma,huyo bwana ake mkoani ananizidi nini,huku kazini nalipwa 6 million kwa mwezi,ila namini atarudi acha akajufunze
 
Hiyo namba naifahamu, ngoja niongee nae huyo Khadija modo anieleze kwanini akufanyie mtima nyongo.
Sawa anko fanya mpango kama ukweli,mie jumamosi Kuna shoo ntapiga diesel hapa Kazini utakula posho ya maana, nisaidie naumia
 
Sawa anko nimekuelewa sana,ila kusema Mimi nilikuwa natoa vijisenti hiyo dharau sana Mimi siyo wa vijisenti mie nalipwa mil 6 kwa mwezi na posho ya kila km Moja ya Barbara nalipwa laki nne hiyo nje ya mshahara,demu wangu Khadija nilikuwa nampa ml 3 kila mwezi,kwa hiyo bro tueshimiane
 

Si Vibaya Na Kama Hutojali..Embu Tueleze Kabila Lako...??
 
Bwana mdogo unalipwa 6 figures alafu unadate madem wachafuwachafu we kweli famba.

Unamshahara mnono alafu mdomo mzito mwenetu🀣🀣🀣🀣we kakojoe ulale.Gademit!!!

Kama unalipwa hivyo anayekulipa hajielewi!!!


Si Vibaya Na Kama Hutojali..Embu Tueleze Kabila Lako...??
Mimi msukuma ntuzu ili mama mzanzibar
 
Hongera mkuu shetani akupokee kwa amani kabisa tumia kamba za waya zikate kabisa na hio shingoo maana mama ako bora angekunywa P2
 
Kudate demu ki-model ni kama kupiga punyeto, tuko mwaka 1448
 
Huyu ni mhaya kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa mbona umeachwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…