Naombeni ushauri wenu juu ya haya mapenzi, nina mpenzi wangu tunaeishi nae mkoa mmoja ktk kanda ya kati, ananipenda sana na huwa msaada wangu mkubwa ktk haya maisha, ila tatzo lake tayar ana mtoto na pia huwa anapenda sana tushiriki tendo la ndoa wakati wazazi na hata kanisa hawajui mahusiano yetu na pia wala haogopi hatari ya kupata mtoto mwingine, Lakini kabla ya kuwa nae, nilimpenda sana na pia bado na mpenda kijana mmoja ambaye nilikutana nae katika kanda i ya kati na tukawa marafiki sana, ambaye kwa sasa yupo katika kanda ya kusini, siku moja nilivunja ukimya na kumueleza yangu ya moyoni, alikubaliana nami katika hilo na akasema amependezwa nalo, kijana uyu anampenda Mungu sana pia hajawai kuniambia jambo lolote kuhusiana na sex, ila mawasiliano yetu tangu akiwa ukanda u ata alipo kwenda uko kusini ni ya kubabaisha, ni mpaka mimi nimtafute bila sivyo anitafuti ata wiki au mwezi uishe, JAMANI NISHAURINI NIFANYEJE, NIMPENDE NANI KATI YA AWA??