mwache huyo mpenzi wako kuwa single.. namna ya kumwacha tafuta ubaya wake kama ananuka mdomo kichwa chake kibaya labda halafu kila akija concentrate na ubaya wake utamwacha tu .. onyo hujaumba wewe so usipende kukosoa uumbaji wa Mungu.. halafu mapenzi si lazima ujue si maji useme usipokunywa utakufa okey safari njema