mkuu
shalolizo,
una umri gani sasa?
kwanini unafanya maamuzi ya haraka namna hiyo? yani from nowhere unaamua tu kuvunja uhusiano then unataka uurudishe?
au ulikuwa under the influence of alcohol?
by the way, kaa na mpenzi wako, muulize vizuri kwanini hakutaki, kisha fanyia kazi sababu atakayokupa!