mapenzi yana msimu?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,884
nimewahi sikia hili jambo?

kwamba kuna kipindi fulani,katika mwaka miezi fulani hivi...
huwa inakuwa ina mapenzi zaidi...

na kipindi fulani hivi kunakuwa na kama

ukame hivi........

binafsi huwa na experience kipindi cha mwisho
wa mwaka.......hivi......

utakuta kuna ex gf anakutafuta hivi..
yule uliyemfuatilia zamani anakuwa available...
na kadhali na kadhalika.....

je umewahi kuhisi hiko kitu?????????
au kuamini??????
 
Mmmh ngoja kwanza nikafikirie, yawezekana kwele msimu wa love hadi konda anakusemesha kwene daladala na nauli anakuachia.
 
ebwana kweli mkuu .....dah km mimi mwezi w kwanza nlikua nao km watano hv lkn sahv nina mwezi w pili nasugulia 2 benchi kila ninapotema sumu hola!! ..... nimekwama!
 
nimewahi sikia hili jambo?

kwamba kuna kipindi fulani,katika mwaka miezi fulani hivi...
huwa inakuwa ina mapenzi zaidi...

na kipindi fulani hivi kunakuwa na kama

ukame hivi........

binafsi huwa na experience kipindi cha mwisho
wa mwaka.......hivi......

utakuta kuna ex gf anakutafuta hivi..
yule uliyemfuatilia zamani anakuwa available...
na kadhalika na kadhalika.....

je umewahi kuhisi hiko kitu?????????
au kuamini??????

Hahahahahaha lol! BOSS usianze tena safari zako za Chalinze hahahahah lol! Naona umemkumbuka tena yule binti hahahahah lol!

YouTube - ‪Michael Bolton - When a Man Love a Woman‬‏
 
mapenzi yana kolea inapokaribia end of the month na week ya kwanza ya mwezi.chunga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom