Mapenzi yako wapi hapa?

kwa kizazi hiki cha yudah hilo ni jambo la kawaida kutokea. ACHANA NAE MARA MOJA KABLA HAUJACHAFUA MASHAVU YAKO KWA MACHOZI.
 
Labda nikwambie kitu ambacho kinaweza kikawa ni msaada kwako kwa wakati huu ,,unajua kumpenda mtu ni kitu kikubwa sana lakini in return thamani ya upendo unaompa mtu kuurudisha huwa ni vigumu wakati mwingne lakini kwann inakuwa wakti mwanzo haikuwa hivyo ? jiulize xana ni nini ulichopunguza kwake au nanatoka na nani right now ,,na onesha hisia za dhati kwake ,,,,nakudedicate nyimbo ya Jux=uzuri wako kwa ajilli ya hisia zako
 
Miezi Mitatu yote hiyo haujatangaza uchumba alafu unasema your Heart Loves??
 

vocha unamnunilia au upigiwe tu
 

Hayo ndio madhara ya kupenda kunyenyekewa wewe huku mwenzio ana hamu ya kupata mrejesho wa manyenyekeo yake.
 
Ninatamani kupigwa kibutiiii....
 

We sema mwanzo nlimpenda xana na sio tulipndana sna kwni ulkua unaujua moyo wake
 
kumbe na wanaume huwa wanaumizwa..! mapenzi haya dah! pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…