Mapenzi ya msibani

Mapenzi ya msibani

Kwani mapenzi yana sehemu maalum jamani?????
Ebu mtoa maada tuambie kwa kutumia uzoefu wako maana mi nina mfanyakazi mwenzangu ambayr alikutana mke wake kwenye msiba na ndo wamekua mume na mke!!!!
 
BsXl0peCUAA0qaw.jpg
 
Kuna watu wa ajabu sana dunia hii. Yaani hata kwenye tatizo kubwa lenye kuhuzunisha unakuta mtu anatumia fursa hiyo kufanya ufuska wake. Mtu anaaga anakwenda msibani na kweli anafika ila anazuga dakika chache ili aonekane alikuwepo halafu anatokomea kwenye ngono. Huu ni ushenzi uliopitiliza.

Hi iliwahi kumtokea jirani yangu mkewe alikuwa mwepesi sana kuhudhuria misiba hata isiyomhusu tena ile ya mbali kumbe anaenda kukamilisha ufuska wake lakini za mwizi ni arobaini akabambwa kilaini baada ya mume kutonywa na kufatilia kimyakimya. Kilichofuta ni talaka maana ni ngumu kuishi tena na kahaba wa aina hii.


Hii mbona ni cha mtoto. Umefika kwenye misiba ya wanyakyusa? Ukifika kule usiende migombani kwani huko ndiko utakuta mke wako ama mumeo amelala kwenye majani na mke wa jirani wakipeana joto mwanana. Nilishuhidia haya mara mbili kule Kyela na Mbeya vijijini. Kuulizia jamaa wakaniambia mbona ni zao hizo wanyakyusa, si jambo la kushangaza. Nasikia pia hata wapare wako hivi.
 
Kuna watu wa ajabu sana dunia hii. Yaani hata kwenye tatizo kubwa lenye kuhuzunisha unakuta mtu anatumia fursa hiyo kufanya ufuska wake. Mtu anaaga anakwenda msibani na kweli anafika ila anazuga dakika chache ili aonekane alikuwepo halafu anatokomea kwenye ngono. Huu ni ushenzi uliopitiliza.

Hi iliwahi kumtokea jirani yangu mkewe alikuwa mwepesi sana kuhudhuria misiba hata isiyomhusu tena ile ya mbali kumbe anaenda kukamilisha ufuska wake lakini za mwizi ni arobaini akabambwa kilaini baada ya mume kutonywa na kufatilia kimyakimya. Kilichofuta ni talaka maana ni ngumu kuishi tena na kahaba wa aina hii.

hayo hayana mda wala mahali bali hutokea na kufanyika popote pale ili mradi tu nafasi inaruhusu.
Wengne wanaotena baada ya kutoka kanisani.
Nakumbuka niliwahi kufumwa na rafki yangu nikiwa na dada yake wakat huo dada mtu aliaga anaenda church mbaya zaidi dada mtu alibeba hadi biblia hata kanisan aliishia geto kwangu baada kama dk 20 jamaa katimba geto anamkuta dada yake yupo kama alivyozaliwa.
Kilichofuata hapa ni varangati la kufa mtu
 
Mtu kufa haimaanishi maisha yasimame, kwa hiyo kwa wale wenye dhamira za kuendeelea na maisha kwa mtindo wa kungonoka misibani acha waendelee ndiyo uchaguzi wao, sasa kinakukera kitu gani wakati kila mtu na uchaguzi wake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom