MAPENZI YA MBALI

MAPENZI YA MBALI

Haha mm nimeipenda hio ya ku move in tu ,

Anyway daah yaan utokw dar to mwanza kwa mtu ambaye kakutumia ka picha tu

Hio distance aisee nikiiwazia tu kwa usafir wa bus napata kizunguzungu
 
Nimesoma mpaka nimejiskia vibaya mimi kama dada sijui kwanini..!!
Unavyoonekana bado mdogo uandishi wako una reflects hilo..!
Seriously, matukio na magonjwa yote haya bado una ndoto za kwenda kuonana na mtu mliyeonana kwa picha tena kwa kumfuata.!
At least yeye ndo akufuate ulipo at some point inaweza kukusaidia.!!
Usikurupuke katika Maamuzi yako..!!
 
Haha mm nimeipenda hio ya ku move in tu ,

Anyway daah yaan utokw dar to mwanza kwa mtu ambaye kakutumia ka picha tu

Hio distance aisee nikiiwazia tu kwa usafir wa bus napata kizunguzungu
Ndege zipoooo mpnz alafu kuna typing error mpnz...
 
Nimesoma mpaka nimejiskia vibaya mimi kama dada sijui kwanini..!!
Unavyoonekana bado mdogo uandishi wako una reflects hilo..!
Seriously, matukio na magonjwa yote haya bado una ndoto za kwenda kuonana na mtu mliyeonana kwa picha tena kwa kumfuata.!
At least yeye ndo akufuate ulipo at some point inaweza kukusaidia.!!
Usikurupuke katika Maamuzi yako..!!
Thank u but cyo mm mpnz story nimepigiwa na shost ndyo maana nimesema mfanoo
 
Tunaomba ushauri tene?? Eniwei usiende shoo
 
Kuna watu wana bahati ee,mbona kwangu haitokei yaani sijawahi kupata mtu mtandaoni,kila atakayenivutia nahisi hatakubali kwa kuwa hanijui,ama kweli uoga wako ndiyo umasikini wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaha
Kuna watu wana bahati ee,mbona kwangu haitokei yaani sijawahi kupata mtu mtandaoni,kila atakayenivutia nahisi hatakubali kwa kuwa hanijui,ama kweli uoga wako ndiyo umasikini wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahah umenichekeshaaa... Uyoo ajakutana mtandaon wameunganishwaa dia
 
Mh usiende! Jiongeze kidogo angalau video call chats umuone laivu umjue kabla hujajipeleka kijisakrifaisi..
 
Back
Top Bottom