Donyy
Member
- Mar 18, 2019
- 15
- 0
Za sa hizi wana jf mimi Nina swali?
MF.. Umeamua kuachana na mahusiano amabyoa hanaya faida ukaamua kumove in na maisha yako lakini ikatokea unarafiki tu ambaye mlisoma nae. Shule moja na hatimae kwa sasa anafamilia yake lakini katika kupiga story na yule kaka ukamwambiaa sifa mwanaume unaye muhuitaji hatimae. Akakuambia na yeye anarafiki ambaye anauitaji wa sifa za mwanamke kama mimi hatimae ukakubali ampatie namba matokeo yake mkatumiana picha mkapiga story kama marafiki mwishi wa siku kaka akaomba mahusiano ukaamua kukubali ila wakati huo uyo mwanaume yupo mwanza na mwanamke yupo dar ... Wakati wa mawasiliano mwanaume anaonekana ni mtu muelewa na mwisho wa siku mwanamke ameanza kumpenda na kumuwaza. Pia mwanaume sababu ya kubanwa na kazi anahitaji mwanamke amfate mwanza kwan hata nauli ya kwenda na kurud anampatiaa .. Sasa mwanamke anaogopa. Swali mapenzi kama hayo ni ya kwel au ????? Je? Mwanamke aendeleze kupenda au ?? TUNAOMBENI USHAURI WENU
MF.. Umeamua kuachana na mahusiano amabyoa hanaya faida ukaamua kumove in na maisha yako lakini ikatokea unarafiki tu ambaye mlisoma nae. Shule moja na hatimae kwa sasa anafamilia yake lakini katika kupiga story na yule kaka ukamwambiaa sifa mwanaume unaye muhuitaji hatimae. Akakuambia na yeye anarafiki ambaye anauitaji wa sifa za mwanamke kama mimi hatimae ukakubali ampatie namba matokeo yake mkatumiana picha mkapiga story kama marafiki mwishi wa siku kaka akaomba mahusiano ukaamua kukubali ila wakati huo uyo mwanaume yupo mwanza na mwanamke yupo dar ... Wakati wa mawasiliano mwanaume anaonekana ni mtu muelewa na mwisho wa siku mwanamke ameanza kumpenda na kumuwaza. Pia mwanaume sababu ya kubanwa na kazi anahitaji mwanamke amfate mwanza kwan hata nauli ya kwenda na kurud anampatiaa .. Sasa mwanamke anaogopa. Swali mapenzi kama hayo ni ya kwel au ????? Je? Mwanamke aendeleze kupenda au ?? TUNAOMBENI USHAURI WENU
troublemaker 2019. all right received.