Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,775
- 9,202
Kwenye mapenzi ya dhati, kula tunda ni kiunganishi, na kinapendeza zaidi wote mkifika kwenye kilele.
Pesa pia nayo ni pambo la penzi, zikiwepo kunakuwa na vacations, outings, candle light dinner na vizawadi. Utamfanyiaje mwenzako surprise na wewe huna kitu?
All in all kwenye penzi la kweli panakuwa na sifa kubwa ya uvumilivu. Awe nacho unafurahia, akikosa unavumilia na kuendelelea kuwa mnyenyekevu. Akikufikisha unafurahia, unamsifia na kumpongeza, asipokufikisha, unampa pole na kumwambia mwenzako natamani tuendee, unamtomasa hapa na pale, maneno yako matamu yaliyojaa huba yatamwinua nyoka na kuendeleza libeneke.
Ikishindikana unampa pole unamfariji na kumtia moyo kuwa kesho atafanya vizuri zaidi. Unaenda zako maliwatoni unanawa maji ya baridiii, hamu inakatiaka unarudi kulala.
Maisha hayawi vilevile siku zote.
Tujifunze kuwa na upendo wa dhati kwa wenzetu.
Pesa pia nayo ni pambo la penzi, zikiwepo kunakuwa na vacations, outings, candle light dinner na vizawadi. Utamfanyiaje mwenzako surprise na wewe huna kitu?
All in all kwenye penzi la kweli panakuwa na sifa kubwa ya uvumilivu. Awe nacho unafurahia, akikosa unavumilia na kuendelelea kuwa mnyenyekevu. Akikufikisha unafurahia, unamsifia na kumpongeza, asipokufikisha, unampa pole na kumwambia mwenzako natamani tuendee, unamtomasa hapa na pale, maneno yako matamu yaliyojaa huba yatamwinua nyoka na kuendeleza libeneke.
Ikishindikana unampa pole unamfariji na kumtia moyo kuwa kesho atafanya vizuri zaidi. Unaenda zako maliwatoni unanawa maji ya baridiii, hamu inakatiaka unarudi kulala.
Maisha hayawi vilevile siku zote.
Tujifunze kuwa na upendo wa dhati kwa wenzetu.
1 Wakorintho 13
2 Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
3 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;4 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;5 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;6 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.7 Upendo haupungui neno wakati wo wote