Mapenzi ya kweli hayachagui!

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,775
Reaction score
9,202
Kwenye mapenzi ya dhati, kula tunda ni kiunganishi, na kinapendeza zaidi wote mkifika kwenye kilele.

Pesa pia nayo ni pambo la penzi, zikiwepo kunakuwa na vacations, outings, candle light dinner na vizawadi. Utamfanyiaje mwenzako surprise na wewe huna kitu?

All in all kwenye penzi la kweli panakuwa na sifa kubwa ya uvumilivu. Awe nacho unafurahia, akikosa unavumilia na kuendelelea kuwa mnyenyekevu. Akikufikisha unafurahia, unamsifia na kumpongeza, asipokufikisha, unampa pole na kumwambia mwenzako natamani tuendee, unamtomasa hapa na pale, maneno yako matamu yaliyojaa huba yatamwinua nyoka na kuendeleza libeneke.

Ikishindikana unampa pole unamfariji na kumtia moyo kuwa kesho atafanya vizuri zaidi. Unaenda zako maliwatoni unanawa maji ya baridiii, hamu inakatiaka unarudi kulala.

Maisha hayawi vilevile siku zote.

Tujifunze kuwa na upendo wa dhati kwa wenzetu.

 
Hapo kwenye kileleni hapana , Mwanamke lazima afike kileleni ili kemikali zitolewazo na mwili ziutulize mwili bila hivyo anakuwa anaruka ruka ka popcorn kwenye frying pan. unaweza usiione moja kwa moja ila kifika kileleni ni dawa ''you see a woman glowing'' sio amefubaa bana anaweza kuwa chizi asipopewe haki yake sawa sawa.
 
Kukojoleshwa muhimu bhana
 
Upendo wa dhati ni kuwa naye wakati hawezi kukukufanya kabisa anaumwa au amepata ajali na wala hakuna kufubaa Mnama
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa thread yako mkuu. Ingawa kiuhalisia sidhani kama uvumilivu wa hivyo upo,hasa kwenye kuvumilia ukata wa pesa kwa wanawake.
 
Asante kwa thread yako mkuu. Ingawa kiuhalisia sidhani kama uvumilivu wa hivyo upo,hasa kwenye kuvumilia ukata wa pesa kwa wanawake.

Pesa kitu muhimu sana,outings,vacations,vizawadi.....kwakweli atleast hivyo vita changamsha relationship.. Otherwise itakuwa so boring mwanzo wa kutupa jicho kwingine
 
Pesa kitu muhimu sana,outings,vacations,vizawadi.....kwakweli atleast hivyo vita changamsha relationship.. Otherwise itakuwa so boring mwanzo wa kutupa jicho kwingine

Hizo ndio tamaa zenyewe sasa. Unajua huko kwingine unakoenda alizipataje hizo hela??

Kwanini usimvumilie wa kwako mkatafuta zenu?
 
Anaekupenda kweli ana character za mzizi (root) katika mti (tree) na ndie wa kumng'ang'ania huyo forever...mzizi hata lije garika la vipi...si kiangazi..si masika...
Si kupupwe...mzizi utakuwepo tu. Yatapukutika majani hata kaupepo kadogo...dhoruba likizidi.. hata matawi yanayojidai na kijiubavu yatakatika...shina pia huondoka nguvu za dhoruba zikizidi. Lakini mzizi upo palepale. Ili mradi unampa heshima yake, upendo na kumjali...huyu ni mtu ambae ukimwambia tabia fulani usiyoipenda aiache......anaiacha mara.moja.hakuna.mjadala....nausimwambie mtu tabia yako fulani siipendi no...mwambie tabia hii acha....usipoiacha kila mtu ashike njia yake...I relationship watu wengine wanakuja kwako for a season or a reason...just to teach you one thing or two...character za majani ya mti...hao sio wa kuoa..hawadumu. same as vijitawi na shina...akikuacha wala usiumize kichwa muda mrefu...jitahidi kumsahau haraka halafu songa namaisha yako...
 
Sijawahi kuona true love! Nasikiaga na kusoma au kwenye movie!

Ila uvumilivu, kuishi maisha ya kiasi IPO! Ndio tuna itafsiri kama true love! What's love? Mtu anapenda mara ngapi in a lifetime?
 
Mkuu thrad yako imetisha, umepiga kunako takiwa, unajua wengine wasipofikishwa huanza dharau na malalamiko kumbe ndio wanazidi kuharibu kwa kuondoa kujiamini kwa wenzao. Shuleyao imetisha mkuu.
 
kwann kufikishwa kileleni ama kurudhika iwe kwa wanawake tu?? vipi mwanamke ambae hawez handle mwanamme wake? say bao moja kachoka, huyo tunamweka kundi gan?

au huyo bwana wake ni sponsor eh? nadhan hatuko fair ktk mijadala ya kuridhishana
 
Au nimepata ajali ya moto sura yangu nzuri ipotee na yeye aendelee kuwepo kwenye maisha yangu akinipenda kama alivyokuwa ananipenda kabla sijaungua. Hii ni mifano hai, nimeona watu wameachana sababu mmoja ameugua mwingine anaondoka kisa ameshindwa kuperform kitandani.

Dooh hicho ndio kipimo cha upendo?
 







Alaaaaah kumbe 😀: 😀
 
Pesa kitu muhimu sana,outings,vacations,vizawadi.....kwakweli atleast hivyo vita changamsha relationship.. Otherwise itakuwa so boring mwanzo wa kutupa jicho kwingine

Hicho ndicho kiini cha matatizo ya mahusiano mengi siku hizi.Wakiumeni kutoheshimu wanawake na kuwafanya kama cotton buds ni zao la kutoridhika kwao! Hebu washawishi wenzio kumi kila siku waachane na hii tabia.Itasaidia sana brenda18
 
Last edited by a moderator:
ivi wewe hujui kwendaa maliwatoni na kuoga maji bariiid ndo unachochea nyege hadi papu inajifungua yenyewe???mwanaume unatakiwa kumfikisha mwanamke kileleni huo ndo uanaume wake ...umpe pole hajakufikisha kileleni???labda kama mgonjwa otherwise namwambia ukweli tu kwa maana hakuna namna nyingine labda kama anataka nichepuke....upendo wa kweli lazima umambatane na kufikishwa kileleni .kudinyana kuna nafsi kubwa sana kweye upendo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…