Napiga simu kutoka makete.... Bwana mim ni kijana wa miaka..... Namtafta mchumba wa miaka 20's kama atakua tayari naomba anitafute kwenye namba 07.......
Hahaha!! Mbona watu wa hivi walifanikisha kukutanisha wanandoa kadhaa! Au nayo haikua mitandao???
Sijui wahenga mmenielewa, haswa wale wahusika waliokua wakipendelea kusikiliza RFA
Sent using
Jamii Forums mobile app