Binadamu ni walele walioko mitandaoni na walioko majumbani au mtaani ni walele tu. Naona kuna wanaume au wanawake maneno yanawatoka kusema ety ""siowezii kuwa na mahusiano ya kimapenzii na mtu tuliekutana mtandaoni"". Huko ni kutokujiaminii maana ata wewe unaejifanya unazo Akili na kujitambua Pia kuna watu mtandaoni wapo kama wewe wanajifanya wanazo Akili na kujitambua hivyo ukizalau watu wa mtandaoni tambua wewe mwenyewe unazalauliwa,, usiwe na fikra zilizo lala
Mimi nadhani kila mtu aamini anachoamini basi, kama unaona wa mtandaoni hawakufai tafuta wa mtaani, ukiona mtaani hawakufai tafuta mtandaoni, Kanisani, sijui Msikitni ,Club, Hotelini ama hata barabarani
Mimi nadhani kila mtu aamini anachoamini basi, kama unaona wa mtandaoni hawakufai tafuta wa mtaani, ukiona mtaani hawakufai tafuta mtandaoni, Kanisani, sijui Msikitni ,Club, Hotelini ama hata barabarani
Mimi nadhani kila mtu aamini anachoamini basi, kama unaona wa mtandaoni hawakufai tafuta wa mtaani, ukiona mtaani hawakufai tafuta mtandaoni, Kanisani, sijui Msikitni ,Club, Hotelini ama hata barabarani
Mimi nadhani kila mtu aamini anachoamini basi, kama unaona wa mtandaoni hawakufai tafuta wa mtaani, ukiona mtaani hawakufai tafuta mtandaoni, Kanisani, sijui Msikitni ,Club, Hotelini ama hata barabarani
Hapo kwenye rangi nyekundu umebug...Mimi nadhani kila mtu aamini anachoamini basi, kama unaona wa mtandaoni hawakufai tafuta wa mtaani, ukiona mtaani hawakufai tafuta mtandaoni, Kanisani, sijui Msikitni ,Club, Hotelini ama hata barabarani