Mbona wako wengi tu, wengine wanachukua mikopo bank interest rate 25% million kadhaa kisa watanue na girlfriend. Kuna mtu namjua alipata pesa $ 250,000 doner money, akaitumbua yote na girlfriends auditors kufika no money no project. He took his own life kaacha mke na watoto bila kitu. Kama aliamua kutumia hizo pesa angejengea watoto wake hata kanyumba. Girlfriend anakatiza tu mjini like nothing happened.